Lionel Messi anataka kutimiza ndoto zake za kubeba World Cup Mwaka huu, Luka Modric Nae anahitaji kuifikia Fainali ya Michuano hii aweke historia adhimu akiwa na taifa lake la Croatia. nani atafanikiwa kutoboa?
Lionel Messi anataka kutimiza ndoto zake za kubeba World Cup Mwaka huu, Luka Modric Nae anahitaji kuifikia Fainali ya Michuano hii aweke historia adhimu akiwa na taifa lake la Croatia. nani atafanikiwa kutoboa? View attachment 848