Nimesikitishwa sana na baadhi ya mashabiki wetu kufuatia kipigo chetu cha jumapili uwanjani
Roy Keane na Garry Neville walikwenda kwenye vyombo vya habari kumkashifu Bruno Fernandes na kuendelea kuukosoa Uongozi wake kwa Manchester united kombe letu la kwanza baada ya miaka 6,
Tulicheza mechi 36 msimu huu na kukosa mechi 2 tu kwa sababu ya kufungiwa Hakuna mtu aliyeenda kwenye vyombo vya habari kumsifia,
Sijawahi kuona wachambuzi hawa wakimkashifu Maguire badala yake watatuambia kuwa anahitaji muda kuzoea tuwaunge mkono wachezaji wetu maana tunashinda mara tatu msimu huu✌

Roy Keane na Garry Neville walikwenda kwenye vyombo vya habari kumkashifu Bruno Fernandes na kuendelea kuukosoa Uongozi wake kwa Manchester united kombe letu la kwanza baada ya miaka 6,
Tulicheza mechi 36 msimu huu na kukosa mechi 2 tu kwa sababu ya kufungiwa Hakuna mtu aliyeenda kwenye vyombo vya habari kumsifia,
Sijawahi kuona wachambuzi hawa wakimkashifu Maguire badala yake watatuambia kuwa anahitaji muda kuzoea tuwaunge mkono wachezaji wetu maana tunashinda mara tatu msimu huu✌