Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Ningekuwa Kwenye Benchi La Ufundi La Klabu Ya Simba SC Ningependekeza Kikosi Hiki
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="Mbongographicx" data-source="post: 9904" data-attributes="member: 7110"><p>Mi nakuunga mkono, mi sikuona shida yoyote kwa Ahoua na, Mutale kwa Sababu mchezo ulikuwa ni wa kimbinu zaidi ukiwa na lengo kuu la kutokuruhusu goal ugenini, na Fadlu ameliweza Hilo 100% lakini pia ulikuwa na lengo dogo la Kupata goal la ugenini ndiyo maana aliingizwa Ahoua Mutale ATEBA na Balua, lakini hiyo game haikuwa rahisi kwa Balua ndiyo maana hakufanya chochote kama Mutale ATEBA na Ahoua, Joshua Mutale alikuwa anakabwa na watu watatu wawili wanne Sasa kulingana na mfumo na maelekezo ya Mwalimu Fadlu wachezaji wengi walikuwa nyuma Sasa huwezi kurudisha mpira nyuma kulingana na ubora wa wachezaji wa tripoli kwa hiyo ilibidi a force mbele kwa mbele ndiyo maana mipira ilikuwa inapotea, isitoshe tutakuwa wachoyo wa shukrani kama tusipowapongeza kwa Sababu tripoli kulikuwa na figisu na vurugu nyingi kwa wachezaji na bench la ufundi pamoja na hayo yote hawakuruhu goal kulinda Heshima ya ubaya ubwela </p><p></p><p>Kitu Cha nyongeza ukiangalia shoots off target zimetokea kwa ATEBA, Ahoua na Mutale kwa walioangalia game Vizuri watakubaliana na Mimi</p><p></p><p>Pia wote tunafahamu ubora wa kikosi Cha tripoli na ndiyo usajili unaongoza kwa Sasa kuletwa ingizo jipya la Mabululu na wachezaji wengine waliotokea team kubwa Africa Sasa kwanini tusiwapongeze wachezaji wetu kwa kutokuruhusu goal ugenini na wameonesha ukweli kuwa Simba ni kubwa barani Africa</p><p></p><p>Ile game haikuwa nzuri kwa Mashaka, na Balua Hawa hawakucheza Vizuri hata kidogo japo mashaka alipoga off target moja kama sijasahau</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="Mbongographicx, post: 9904, member: 7110"] Mi nakuunga mkono, mi sikuona shida yoyote kwa Ahoua na, Mutale kwa Sababu mchezo ulikuwa ni wa kimbinu zaidi ukiwa na lengo kuu la kutokuruhusu goal ugenini, na Fadlu ameliweza Hilo 100% lakini pia ulikuwa na lengo dogo la Kupata goal la ugenini ndiyo maana aliingizwa Ahoua Mutale ATEBA na Balua, lakini hiyo game haikuwa rahisi kwa Balua ndiyo maana hakufanya chochote kama Mutale ATEBA na Ahoua, Joshua Mutale alikuwa anakabwa na watu watatu wawili wanne Sasa kulingana na mfumo na maelekezo ya Mwalimu Fadlu wachezaji wengi walikuwa nyuma Sasa huwezi kurudisha mpira nyuma kulingana na ubora wa wachezaji wa tripoli kwa hiyo ilibidi a force mbele kwa mbele ndiyo maana mipira ilikuwa inapotea, isitoshe tutakuwa wachoyo wa shukrani kama tusipowapongeza kwa Sababu tripoli kulikuwa na figisu na vurugu nyingi kwa wachezaji na bench la ufundi pamoja na hayo yote hawakuruhu goal kulinda Heshima ya ubaya ubwela Kitu Cha nyongeza ukiangalia shoots off target zimetokea kwa ATEBA, Ahoua na Mutale kwa walioangalia game Vizuri watakubaliana na Mimi Pia wote tunafahamu ubora wa kikosi Cha tripoli na ndiyo usajili unaongoza kwa Sasa kuletwa ingizo jipya la Mabululu na wachezaji wengine waliotokea team kubwa Africa Sasa kwanini tusiwapongeze wachezaji wetu kwa kutokuruhusu goal ugenini na wameonesha ukweli kuwa Simba ni kubwa barani Africa Ile game haikuwa nzuri kwa Mashaka, na Balua Hawa hawakucheza Vizuri hata kidogo japo mashaka alipoga off target moja kama sijasahau [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Ningekuwa Kwenye Benchi La Ufundi La Klabu Ya Simba SC Ningependekeza Kikosi Hiki
Top
Bottom