Timu za nusu fainali ya Kombe la Dunia zimethibitishwa kwani Argentina itamenyana na Croatia na Ufaransa itacheza na Morocco.
Argentina vs Croatia itachezwa Jumanne, Ufaransa vs Morocco itachezwa Jumatano.
Fainali itachezwa Jumapili tarehe 18 Desemba.
Argentina vs Croatia itachezwa Jumanne, Ufaransa vs Morocco itachezwa Jumatano.
Fainali itachezwa Jumapili tarehe 18 Desemba.