Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Biriani la Ulaya
Premier League: Uzi maalumu wa matokeo, msimamo wa ligi, wafungaji n.k
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="Amir" data-source="post: 439" data-attributes="member: 20"><p><h3>CHELSEA YATOA SARE NA BRIGHTON 1-1 THE AMEX</h3><p><img src="https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgvPwp3VVzFtqntVoBfHn_UGqJRQAhBgbJEuqrcEa4sQJQbRMSfYsv5Sojvk8I90t7P0peBdg6YJyMwIw5W7V8eJVV5HUDHJA02_qr6BDZr1JtusltId_CO6XVh5oN5ZyHgvvoif0n77eixRocNryGGVlHnjMyg-3tArl13LmsCdGoWBsv1pTdgXhpg=w640-h406" alt="" class="fr-fic fr-dii fr-draggable " style="" /></p><p></p><p>TIMU ya Chelsea imetoa sare ya 1-1 na wenyeji, Brighton & Hove Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumanne Uwanja wa The AMEX, Falmer, East Sussex.</p><p>Hakim Ziyech alianza kuwafungia wageni dakika ya 28, kabla ya Adam Webster kuwasawazishia wenyeji dakika ya 60 na sare hiyo ya nane ya msimu inazidi kuiondolea Chelsea matumaini ya ubingwa sasa kikosi cha kocha Mjerumani, Thomas Tuchel kikiachwa pointi 12 na mabingwa watetezi, Manchester City.</p><p>Chelsea inafikisha pointi 44 katika mchezo wa 23 nafasi ya tatu, nyuma ya Liverpool pointi 45 za mechi 21 na Man City pointi 56 za mechi 22, wakati Brighton imefikisha pointi 29 katika mechi ya 21 nafasi ya tisa.</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="Amir, post: 439, member: 20"] [HEADING=2]CHELSEA YATOA SARE NA BRIGHTON 1-1 THE AMEX[/HEADING] [IMG]https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgvPwp3VVzFtqntVoBfHn_UGqJRQAhBgbJEuqrcEa4sQJQbRMSfYsv5Sojvk8I90t7P0peBdg6YJyMwIw5W7V8eJVV5HUDHJA02_qr6BDZr1JtusltId_CO6XVh5oN5ZyHgvvoif0n77eixRocNryGGVlHnjMyg-3tArl13LmsCdGoWBsv1pTdgXhpg=w640-h406[/IMG] TIMU ya Chelsea imetoa sare ya 1-1 na wenyeji, Brighton & Hove Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumanne Uwanja wa The AMEX, Falmer, East Sussex. Hakim Ziyech alianza kuwafungia wageni dakika ya 28, kabla ya Adam Webster kuwasawazishia wenyeji dakika ya 60 na sare hiyo ya nane ya msimu inazidi kuiondolea Chelsea matumaini ya ubingwa sasa kikosi cha kocha Mjerumani, Thomas Tuchel kikiachwa pointi 12 na mabingwa watetezi, Manchester City. Chelsea inafikisha pointi 44 katika mchezo wa 23 nafasi ya tatu, nyuma ya Liverpool pointi 45 za mechi 21 na Man City pointi 56 za mechi 22, wakati Brighton imefikisha pointi 29 katika mechi ya 21 nafasi ya tisa. [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Biriani la Ulaya
Premier League: Uzi maalumu wa matokeo, msimamo wa ligi, wafungaji n.k
Top
Bottom