Ronaldo hajawai kuwa chaguo kwa Roma

Brenda

Mgeni
Oct 31, 2022
489
403
5
Dar es salaam
Mkurugenzi wa AS Roma, Tiago Pinto: "Cristiano Ronaldo hajawahi kuwa chaguo kwa Roma - hakuna jambo zito au dhahiri licha ya uvumi huo. Hatujawahi kufungua mazungumzo ya kumsajili".

"Labda walituunganisha CR7 kwa vile mimi ni Mreno na Mourinho pia, lakini haikuwa hivyo".

BCD550D6-740D-46E7-AA70-E1173A3E9FA4.jpeg