Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Simba haikuwa na shida na Kocha shida ya Simba ilikuwa na kiungo mkabaji
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="Brenda" data-source="post: 3262" data-attributes="member: 464"><p>Simba haikuwa na shida na Kocha shida ya Simba ilikuwa na kiungo mkabaji wa asili na no 9 wa asili</p><p></p><p>Mpira wa huyu Kocha Ni mbovu kabisa team haitembei kabisa team haina ule mpira wake wenyeji wamecheza vizuri wameingia na mpira wa juu Tena wa speed japo uwezo wao sio Kama was Simba Ila wameweza kuishinda Simba sababu mbinu za Mwalimu wa Simba ni mbovu haikuwa na haja ya kucheza 4 -3-3 haikuwa na haja kwa team Kama hii aliye haribu game ni Mwalimu 100%</p><p></p><p>Simba wana kazi na Raja weekend ijayo akicheza namna hii basi lile jina la kwa Mkapa hatoki mtu tutalisahau bad finishing press mbovu kabisa pongezi kwa Manula, kwani hata nje ya kucheza penati Manula ame save nyingi za wazi.</p><p></p><p>Simba Ina kazi ngumu Sana mechi zi jazo kwa mbinu hizi za Mwalimu.</p><p></p><p>[ATTACH=full]1201[/ATTACH]</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="Brenda, post: 3262, member: 464"] Simba haikuwa na shida na Kocha shida ya Simba ilikuwa na kiungo mkabaji wa asili na no 9 wa asili Mpira wa huyu Kocha Ni mbovu kabisa team haitembei kabisa team haina ule mpira wake wenyeji wamecheza vizuri wameingia na mpira wa juu Tena wa speed japo uwezo wao sio Kama was Simba Ila wameweza kuishinda Simba sababu mbinu za Mwalimu wa Simba ni mbovu haikuwa na haja ya kucheza 4 -3-3 haikuwa na haja kwa team Kama hii aliye haribu game ni Mwalimu 100% Simba wana kazi na Raja weekend ijayo akicheza namna hii basi lile jina la kwa Mkapa hatoki mtu tutalisahau bad finishing press mbovu kabisa pongezi kwa Manula, kwani hata nje ya kucheza penati Manula ame save nyingi za wazi. Simba Ina kazi ngumu Sana mechi zi jazo kwa mbinu hizi za Mwalimu. [ATTACH type="full" alt="DA780EE7-2F9C-4A9D-90AA-C83B8C2EC853.jpeg"]1201[/ATTACH] [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Simba haikuwa na shida na Kocha shida ya Simba ilikuwa na kiungo mkabaji
Top
Bottom