Simba queen yatupwa njee robo fainali.

jamal

Mgeni
Nov 4, 2022
148
90
5
1668078001872.png
Washiriki wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake, Simba Queens imetupwa nje hatua ya fainali ya michuano hiyo baada ya kufungwa bao 1-0 na mabingwa watetezi Mamelodi Sundowns.

Mchezo huo wa nusu fainali uliochezwa katika Uwanja wa Prince Heritier Moulay El Hassan ulimalizika kwa 1-0 dakika ya 76 bao hilo likifungwa na Boitumelo Joyce Rabele. na kuwapa Mamelod tiketi ya kwenda Fainali.