Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Simba Sports Club Thread
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="Amir" data-source="post: 1149" data-attributes="member: 20"><p><h2>Pablo alia na adhabu TFF</h2><p><img src="https://www.mwanaspoti.co.tz/resource/blob/3735880/2ee88238efebc04863cb004d08164b7c/pablo-pic-data.jpg" alt="pablo pic" class="fr-fic fr-dii fr-draggable " style="" /></p><p>Kocha mkuu wa Simba, Pablo Franco leo ametema nyongo na kufukunga kuhusiana na adhabu ya kufungiwa michezo mitatu na kutozwa faini Sh3 milioni na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania.</p><p>Adhabu hiyo ilitokana na kukataa kufanya mahojiano na wanahabari baada ya kumalizika kwa mchezo dhidi ya Mbeya City, Mtibwa Sugar sambamba na ule kati ya timu yake na Kagera Sugar ikiwa ni Sh1 milioni kwa kila mechi.</p><p>Akizungumza na waandishi wa habari kuelekea katika mchezo wao dhidi ya Biashara United hiyo kesho, Pablo anasema kuwa anashangzwa kwa adhabu hiyo aliopewa kwani anakumbuka kuwa ni mchezo mmoja tu ndio ambao hakuweza kuhudhuria mahojiano na waandishi wa habari na sio mitatu.</p><p>"Sikuhudhuria mahojiano baada ya mechi yetu na Geita Gold lakini nashangwa na kusikia kuwa sikuhudhuria pia na wa Kagera Sugar jambo ambalo sio sahihi kwani kwa kumbukumbu zangu ni kuwa siku hiyo hakukua na mahojiano baada ya mchezo kumalizika"anasema Pablo. </p><p>Pablo alifungiwa michezo mitatu na kutozwa faini ya Sh500,000 kwa kosa la kupiga teke chombo maalumu cha kuhifadhia barafu/vinywaji baridi kwenye mchezo wa ligi namba 102, dhidi ya Mtibwa Sugar.</p><p>Katika taarifa hiyo ya TPLB imeeleza kuwa hiyo si mara ya kwanza kwa Pablo kufanya tukio la namna hiyo ambapo mara ya kwanza alipewa onyo baada ya kupiga teke kiti katika mchezo dhidi ya KMC uliopigwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="Amir, post: 1149, member: 20"] [HEADING=1]Pablo alia na adhabu TFF[/HEADING] [IMG alt="pablo pic"]https://www.mwanaspoti.co.tz/resource/blob/3735880/2ee88238efebc04863cb004d08164b7c/pablo-pic-data.jpg[/IMG] Kocha mkuu wa Simba, Pablo Franco leo ametema nyongo na kufukunga kuhusiana na adhabu ya kufungiwa michezo mitatu na kutozwa faini Sh3 milioni na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania. Adhabu hiyo ilitokana na kukataa kufanya mahojiano na wanahabari baada ya kumalizika kwa mchezo dhidi ya Mbeya City, Mtibwa Sugar sambamba na ule kati ya timu yake na Kagera Sugar ikiwa ni Sh1 milioni kwa kila mechi. Akizungumza na waandishi wa habari kuelekea katika mchezo wao dhidi ya Biashara United hiyo kesho, Pablo anasema kuwa anashangzwa kwa adhabu hiyo aliopewa kwani anakumbuka kuwa ni mchezo mmoja tu ndio ambao hakuweza kuhudhuria mahojiano na waandishi wa habari na sio mitatu. "Sikuhudhuria mahojiano baada ya mechi yetu na Geita Gold lakini nashangwa na kusikia kuwa sikuhudhuria pia na wa Kagera Sugar jambo ambalo sio sahihi kwani kwa kumbukumbu zangu ni kuwa siku hiyo hakukua na mahojiano baada ya mchezo kumalizika"anasema Pablo. Pablo alifungiwa michezo mitatu na kutozwa faini ya Sh500,000 kwa kosa la kupiga teke chombo maalumu cha kuhifadhia barafu/vinywaji baridi kwenye mchezo wa ligi namba 102, dhidi ya Mtibwa Sugar. Katika taarifa hiyo ya TPLB imeeleza kuwa hiyo si mara ya kwanza kwa Pablo kufanya tukio la namna hiyo ambapo mara ya kwanza alipewa onyo baada ya kupiga teke kiti katika mchezo dhidi ya KMC uliopigwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora. [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Simba Sports Club Thread
Top
Bottom