Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Simba Sports Club Thread
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="Amir" data-source="post: 962" data-attributes="member: 20"><p><h2>Morrison Alizua Upya Simba.</h2><p><img src="https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2022/01/simbasctanzania_271464146_1004142703514157_1878481776837137082_n.jpg" alt="" class="fr-fic fr-dii fr-draggable " style="" /></p><p>UNAAMBIWA mara baada tu ya kuingia kambini, nyota wa Simba, raia wa Ghana, Bernard Morrison, amejikuta</p><p>akizua jambo jipya baada ya kugoma kuhamishwa chumba cha kulala.</p><p>Morrison alikuwa nje ya kikosi hicho tangu Februari 4, baada ya kusimamishwa na uongozi wa timu hiyo kwa makosa ya utovu wa nidhamu aliouonyesha kwa baadhi ya uongozi na benchi la ufundi.</p><p>Chanzo chetu kutoka kambi ya Simba iliyopo Ndege Beach jijini Dar es Salaam, kimesema kuwa, mara baada ya juzi Ju– matatu, Morrison kuwasili kambini, alijikuta akizua gumzo jipya mara baada ya meneja wa klabu hiyo, Patrick Rweyamamu, kutaka kumhamisha chumba alichokuwa akilala mwanzo, ambapo aligoma na kulazi– mika kurejeshwa kwenye chumba hicho.</p><p></p><p><img src="https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2022/02/273129757_1293546667789867_7183809858415196594_n.jpg" alt="" class="fr-fic fr-dii fr-draggable " style="" /></p><p>“Ebwana eeh … nikwambie siku zote mtu mtundu huwa haji– fichi tabia kabisa, yaani pamoja na Morrison</p><p>kusimamishwa kwa muda, huwezi kuamini jana (juzi) baada ya kurudi kambini tu alilizua jambo jipya baada ya kugoma kuhamishwa chumba na meneja kiasi cha kulazimika kurejeshwa</p><p>alikokuwa awali.”</p><p>Championi Jumatano baada ya kuelezwa hali hiyo, lilimtafuta Meneja Patrick Rweyamamu, ili aweze kuthibitisha uwepo wa hali hiyo ambapo alisema: “Ni kweli Morrison karejeshwa na uongozi na tayari aliingia</p><p>mazoezi ya jana (juzi).</p><p>“Hivyo mimi kwa nafasi yangu nimempokea na kumuelekeza kinachotakiwa akiwa kambini, hivyo tupo</p><p>naye na anaendelea na ratiba za kocha kama inavyotakiwa.”</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="Amir, post: 962, member: 20"] [HEADING=1]Morrison Alizua Upya Simba.[/HEADING] [IMG]https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2022/01/simbasctanzania_271464146_1004142703514157_1878481776837137082_n.jpg[/IMG] UNAAMBIWA mara baada tu ya kuingia kambini, nyota wa Simba, raia wa Ghana, Bernard Morrison, amejikuta akizua jambo jipya baada ya kugoma kuhamishwa chumba cha kulala. Morrison alikuwa nje ya kikosi hicho tangu Februari 4, baada ya kusimamishwa na uongozi wa timu hiyo kwa makosa ya utovu wa nidhamu aliouonyesha kwa baadhi ya uongozi na benchi la ufundi. Chanzo chetu kutoka kambi ya Simba iliyopo Ndege Beach jijini Dar es Salaam, kimesema kuwa, mara baada ya juzi Ju– matatu, Morrison kuwasili kambini, alijikuta akizua gumzo jipya mara baada ya meneja wa klabu hiyo, Patrick Rweyamamu, kutaka kumhamisha chumba alichokuwa akilala mwanzo, ambapo aligoma na kulazi– mika kurejeshwa kwenye chumba hicho. [IMG]https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2022/02/273129757_1293546667789867_7183809858415196594_n.jpg[/IMG] “Ebwana eeh … nikwambie siku zote mtu mtundu huwa haji– fichi tabia kabisa, yaani pamoja na Morrison kusimamishwa kwa muda, huwezi kuamini jana (juzi) baada ya kurudi kambini tu alilizua jambo jipya baada ya kugoma kuhamishwa chumba na meneja kiasi cha kulazimika kurejeshwa alikokuwa awali.” Championi Jumatano baada ya kuelezwa hali hiyo, lilimtafuta Meneja Patrick Rweyamamu, ili aweze kuthibitisha uwepo wa hali hiyo ambapo alisema: “Ni kweli Morrison karejeshwa na uongozi na tayari aliingia mazoezi ya jana (juzi). “Hivyo mimi kwa nafasi yangu nimempokea na kumuelekeza kinachotakiwa akiwa kambini, hivyo tupo naye na anaendelea na ratiba za kocha kama inavyotakiwa.” [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Simba Sports Club Thread
Top
Bottom