Kwanini Baadhi ya hao wachezaji waliopewa nafas leo wasipewe nafasi kwenye league, naona wako fit zaidi
Mohamed Musa asimame badala ya Kyombo! Yuko fit sn kuliko hata tunaowajua
Mohammed Mussa anajua lango huyo ni mchezaji mzuri sana mchungeni asipigwe misumari na hao mababu pia ni mrithi sahihi wa Captain John Bocco

Mohamed Musa asimame badala ya Kyombo! Yuko fit sn kuliko hata tunaowajua
Mohammed Mussa anajua lango huyo ni mchezaji mzuri sana mchungeni asipigwe misumari na hao mababu pia ni mrithi sahihi wa Captain John Bocco
