TFF Pamoja Na Viongozi Wa Klabu Za Simba Na Yanga Mjitafakari. Mpira Hauna Siasa, Dini, Rangi Wala Kabila!

Bakari

Mgeni
May 27, 2024
27
31
5
Mada tajwa hapo juu ya husika, tunaomba TTF, Viongozi wa clab za simba na yanga mjitafakari Kwa kitendo kilichofanyika jana katka uwanja wa taifa mnatokosea heshima kuona mnachanganya mpira na siasa. Kwani Kila mtu ana itikadi yake anayoiamini ila suburi uwe nje ya mpira ndo ufanye hiyo itikadi Yako. Mpira hauna siasa wa dini Wala Rangi Wala kabila.

Bwana Wallece karia tunaomba ujidhuru Kwa kulinda heshima yko pia TFF tunaomba adhabu kali itolewe Kwa vilabu vya Yanga na Simba kuruhusu wasemaji wake kuchanganya mpira na Siasa. Angalia Kenya walifungiwa na FIFA Sasa kabla hayo hayajafika kwetu tunaomba hatua kali zifuatwe Kwa ho watu waliotajwa.
 
Jul 1, 2024
5
1
5
Mada tajwa hapo juu ya husika, tunaomba TTF, Viongozi wa clab za simba na yanga mjitafakari Kwa kitendo kilichofanyika jana katka uwanja wa taifa mnatokosea heshima kuona mnachanganya mpira na siasa. Kwani Kila mtu ana itikadi yake anayoiamini ila suburi uwe nje ya mpira ndo ufanye hiyo itikadi Yako. Mpira hauna siasa wa dini Wala Rangi Wala kabila.

Bwana Wallece karia tunaomba ujidhuru Kwa kulinda heshima yko pia TFF tunaomba adhabu kali itolewe Kwa vilabu vya Yanga na Simba kuruhusu wasemaji wake kuchanganya mpira na Siasa. Angalia Kenya walifungiwa na FIFA Sasa kabla hayo hayajafika kwetu tunaomba hatua kali zifuatwe Kwa ho watu waliotajwa.
Acha zako ww kenya ni kenya na Tanzania ni Tanzania
 

MR. VIP

Mgeni
May 17, 2024
22
3
5
Mada tajwa hapo juu ya husika, tunaomba TTF, Viongozi wa clab za simba na yanga mjitafakari Kwa kitendo kilichofanyika jana katka uwanja wa taifa mnatokosea heshima kuona mnachanganya mpira na siasa. Kwani Kila mtu ana itikadi yake anayoiamini ila suburi uwe nje ya mpira ndo ufanye hiyo itikadi Yako. Mpira hauna siasa wa dini Wala Rangi Wala kabila.

Bwana Wallece karia tunaomba ujidhuru Kwa kulinda heshima yko pia TFF tunaomba adhabu kali itolewe Kwa vilabu vya Yanga na Simba kuruhusu wasemaji wake kuchanganya mpira na Siasa. Angalia Kenya walifungiwa na FIFA Sasa kabla hayo hayajafika kwetu tunaomba hatua kali zifuatwe Kwa ho watu waliotajwa.
Mwamba unaandika speed uelezi hoja yako kwani woote tulikuwa na wewe huko uwanja wa taifa??.
Eleza kisa ili wenggi wajue na kufatilia na kusaidia katika kuchangia mada hii inayoonekana nzuri isipokuwa mwandishi kaiandika akiwa anakimbizwa
 

Mc mikogo

Mpiga Chabo
Jul 8, 2024
2
0
0
104
Mada tajwa hapo juu ya husika, tunaomba TTF, Viongozi wa clab za simba na yanga mjitafakari Kwa kitendo kilichofanyika jana katka uwanja wa taifa mnatokosea heshima kuona mnachanganya mpira na siasa. Kwani Kila mtu ana itikadi yake anayoiamini ila suburi uwe nje ya mpira ndo ufanye hiyo itikadi Yako. Mpira hauna siasa wa dini Wala Rangi Wala kabila.

Bwana Wallece karia tunaomba ujidhuru Kwa kulinda heshima yko pia TFF tunaomba adhabu kali itolewe Kwa vilabu vya Yanga na Simba kuruhusu wasemaji wake kuchanganya mpira na Siasa. Angalia Kenya walifungiwa na FIFA Sasa kabla hayo hayajafika kwetu tunaomba hatua kali zifuatwe Kwa ho watu waliotajwa.
Bosi mbona unaelezea kama vile wote tulikuwepo, hebu kunywa kwanza maji halafu utuelezee upya ilivyokuwa