Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Usajili
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="Amir" data-source="post: 652" data-attributes="member: 20"><p><h3>BEKI MZANZIBARI, SEBBO AONGEZA MIAKA MIWILI AZAM FC.</h3><p><img src="https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgWFal_8uU_2VzCTgMsSJchP1H-LCxC2kqGCuWAooPSkGKWs2gNlG8CgZNQChZuwH5KnXHGlawUK0RhbII-i3tYGP4epDoj-pI-1qCksoKnDWUEbqmt81b6mhlBN9BKAT7RxSaopKEpULVrKx1dt6MjAt8JpwvuL9K9kTJ9Ib8OOcEgx_y3DzxZ8ey_=w640-h542" alt="" class="fr-fic fr-dii fr-draggable " style="" /></p><p>BEKI Mzanzibari, Abdallah Kheri 'Sebbo' ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuchezea Azam FC.</p><p>Sebbo amesaini mkataba huo leo mbele ya Mtendaji Mkuu wa klabu, Abdulkarim Amin ‘Popat’ na sasa ataendelea kupiga kazi timu ya Alhaj Sheikh Said Salim Bakhresa na familia yake hadi mwaka 2024.</p><p>Aidha, Azam pia imeingia mkataba wa miaka mitatu na Omar Abdikarim Nasser, kuwa Kocha Msaidizi mpya, chini ya Msomali mwenzake, Abdihamid Moallin.</p><p><img src="https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjZrYqEJTLrxz6aJ5i0cl5AyAywffffnTKIXGZdt-aYobg3U2ZzmJYqAM9bLhENVik7g_CJsjw49wVOyRbWw3zodY1nUXsISXNhOrVHdUc5U9PsjueRPLHPEusWLgwHMYXo6qQ7rmmPcQ-1pt8dz1fEmxKniaq5ns7msznW-T7L6HnnG2_b_E-nxOKa=w640-h440" alt="" class="fr-fic fr-dii fr-draggable " style="" /></p><p>Nasser amewahi kufanya kazi katika nchi mbalimbali, mara ya mwisho 2019, akiitumikia moja ya vigogo vya nchini Qatar, Al Sadd, akiwa kama mchambuzi wa mechi (analyst) wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 23 (U-23), kabla ya kufanya majukumu kama hayo akiwa Al Duhail ya huko pia.</p><p>Al Sadd ni moja ya timu kubwa nchini humo, iliyokuwa ikinolewa na gwiji wa zamani wa Hispania, Xavi Hernandez, kabla kurejea Barcelona, akiwa kama Kocha Mkuu.</p><p>Omary, mzaliwa wa Somalia aliyekulia England na kuchukua uraia wa huko, pia alikuwa Kocha Msaidizi wa timu ya Taifa ya Somalia kuanzia mwaka jana hadi sasa.</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="Amir, post: 652, member: 20"] [HEADING=2]BEKI MZANZIBARI, SEBBO AONGEZA MIAKA MIWILI AZAM FC.[/HEADING] [IMG]https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgWFal_8uU_2VzCTgMsSJchP1H-LCxC2kqGCuWAooPSkGKWs2gNlG8CgZNQChZuwH5KnXHGlawUK0RhbII-i3tYGP4epDoj-pI-1qCksoKnDWUEbqmt81b6mhlBN9BKAT7RxSaopKEpULVrKx1dt6MjAt8JpwvuL9K9kTJ9Ib8OOcEgx_y3DzxZ8ey_=w640-h542[/IMG] BEKI Mzanzibari, Abdallah Kheri 'Sebbo' ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuchezea Azam FC. Sebbo amesaini mkataba huo leo mbele ya Mtendaji Mkuu wa klabu, Abdulkarim Amin ‘Popat’ na sasa ataendelea kupiga kazi timu ya Alhaj Sheikh Said Salim Bakhresa na familia yake hadi mwaka 2024. Aidha, Azam pia imeingia mkataba wa miaka mitatu na Omar Abdikarim Nasser, kuwa Kocha Msaidizi mpya, chini ya Msomali mwenzake, Abdihamid Moallin. [IMG]https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjZrYqEJTLrxz6aJ5i0cl5AyAywffffnTKIXGZdt-aYobg3U2ZzmJYqAM9bLhENVik7g_CJsjw49wVOyRbWw3zodY1nUXsISXNhOrVHdUc5U9PsjueRPLHPEusWLgwHMYXo6qQ7rmmPcQ-1pt8dz1fEmxKniaq5ns7msznW-T7L6HnnG2_b_E-nxOKa=w640-h440[/IMG] Nasser amewahi kufanya kazi katika nchi mbalimbali, mara ya mwisho 2019, akiitumikia moja ya vigogo vya nchini Qatar, Al Sadd, akiwa kama mchambuzi wa mechi (analyst) wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 23 (U-23), kabla ya kufanya majukumu kama hayo akiwa Al Duhail ya huko pia. Al Sadd ni moja ya timu kubwa nchini humo, iliyokuwa ikinolewa na gwiji wa zamani wa Hispania, Xavi Hernandez, kabla kurejea Barcelona, akiwa kama Kocha Mkuu. Omary, mzaliwa wa Somalia aliyekulia England na kuchukua uraia wa huko, pia alikuwa Kocha Msaidizi wa timu ya Taifa ya Somalia kuanzia mwaka jana hadi sasa. [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Usajili
Top
Bottom