Uwezo wa timu na userious wa wachezaji ndio utakaoivusha timu raundi inayofata au utakayoizuia kufika raundi inayofata,uwe rainbow au usiwe sisi tunachotaka ni ubora wako uwanjani,So Germany wakicheza mechi ya mwisho kama walivyocheza jana na Spain basi anavuka na kwenda raundi inayofa