John Terry: “Kama ingekuwa juu yangu, ningemchagua Kane, Foden na Grealish kwenye safu ya ushambuliaji ya England. Nina uhakika tutasonga mbele bila shaka.”
Gary Neville: “Sina tatizo na Saka na Sterling lakini Foden haguswi, ni kipaji cha wakati wake.”
John Terry: “Kuna mashambulizi mengi dhidi ya Harry Maguire lakini anatakiwa kuonesha kiwango kizuri.”
Gary Neville: “Harry Maguire atacheza dhidi ya Iran, lakini kama ingekuwa juu yangu, nisingemtumia.”
Gary Neville: "Matatizo ya Pickford kama mlinda mlango ni kama matatizo ya kipa wa Qatar katika mchezo wa leo (yani jana).”

Gary Neville: “Sina tatizo na Saka na Sterling lakini Foden haguswi, ni kipaji cha wakati wake.”
John Terry: “Kuna mashambulizi mengi dhidi ya Harry Maguire lakini anatakiwa kuonesha kiwango kizuri.”
Gary Neville: “Harry Maguire atacheza dhidi ya Iran, lakini kama ingekuwa juu yangu, nisingemtumia.”
Gary Neville: "Matatizo ya Pickford kama mlinda mlango ni kama matatizo ya kipa wa Qatar katika mchezo wa leo (yani jana).”
