Wahuni wanakwambia wa hezaj et watarud tu Form
Wakati tunasubiri kurud Form kwa wachezaj tusisahau....wachezaj kibaooo wametutemea nje kuwasajili kisa hatupo Uefa...tusisahau Arsenal,city,liver,chelsea,tott wanapigania top 4 kama ss af kuna Roho mbaya Newcastle,Aston villa,Wolves,west ham ambao hata tukikutana nao tunabana nyanya wao wanataka tu waione Europa.
Twende sokoni Tukalangue wachezaji
Wakati tunasubiri kurud Form kwa wachezaj tusisahau....wachezaj kibaooo wametutemea nje kuwasajili kisa hatupo Uefa...tusisahau Arsenal,city,liver,chelsea,tott wanapigania top 4 kama ss af kuna Roho mbaya Newcastle,Aston villa,Wolves,west ham ambao hata tukikutana nao tunabana nyanya wao wanataka tu waione Europa.
Twende sokoni Tukalangue wachezaji