Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Wana-Simba Tunaujua Mchezo Wa Injinia FEKI Wa Kutupoteza Maboya, Tumekushtukia Na Hatujai
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="Bakari" data-source="post: 6976" data-attributes="member: 2316"><p>Simba Nguvu Moja!</p><p></p><p>Tunajua hii sinema ya MAHAKAMA imetengenezwa mahususi kwa ajili ya kuwapoteza maboya timu ya SIMBA ili isi FOCUS na mambo yake muhimu na vile amejua simba ya sasa inaenda ama itaenda kua tishio kubwa sana nchini na afrika, injinia feki na kikundi chake wameamua kuleta propaganda kama walivyoleta prooaganda za aziz ki na kudanganya live kwenye vyombo vya habari kwamba aziz ki hajasaini kumbe ndio michezo na staili yake.</p><p></p><p>Inahitaji kujitoa akili kuamini Rais wa klabu mwanachama wa TFF ambaye ni mwanachama wa FIFA na CAF anaondolewa madarakani na mahakama ya kiraia.</p><p></p><p>Wambura alishinda kesi mahakamani na Wallace Karia akamlamba kifungo cha maisha.</p><p></p><p>Hatuwezi potezwa maboya kiasi hiko. Simba iko makini. Na msimu huu maji mtaita mma. Miaka mitano ubingwa mtausikia chooni.</p><p></p><p>#UbayaUbwela...</p><p></p><p>Tukutane uwanjani !</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="Bakari, post: 6976, member: 2316"] Simba Nguvu Moja! Tunajua hii sinema ya MAHAKAMA imetengenezwa mahususi kwa ajili ya kuwapoteza maboya timu ya SIMBA ili isi FOCUS na mambo yake muhimu na vile amejua simba ya sasa inaenda ama itaenda kua tishio kubwa sana nchini na afrika, injinia feki na kikundi chake wameamua kuleta propaganda kama walivyoleta prooaganda za aziz ki na kudanganya live kwenye vyombo vya habari kwamba aziz ki hajasaini kumbe ndio michezo na staili yake. Inahitaji kujitoa akili kuamini Rais wa klabu mwanachama wa TFF ambaye ni mwanachama wa FIFA na CAF anaondolewa madarakani na mahakama ya kiraia. Wambura alishinda kesi mahakamani na Wallace Karia akamlamba kifungo cha maisha. Hatuwezi potezwa maboya kiasi hiko. Simba iko makini. Na msimu huu maji mtaita mma. Miaka mitano ubingwa mtausikia chooni. #UbayaUbwela... Tukutane uwanjani ! [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Wana-Simba Tunaujua Mchezo Wa Injinia FEKI Wa Kutupoteza Maboya, Tumekushtukia Na Hatujai
Top
Bottom