Ila mpenjaa ana kiti chake mbinguni alivyolipamba goalDabi ya Dar Es Salaam imemalizika kwa Matajiri Wa Chamazi kuondoka na ushindi wa bao 1 Kwa 0 dhidi ya Yanga goli likifungwa na Gibril Sillah
Umeuonaje Mchezo Wa DABI Ya Dar Es Salaam? Una Kipi Cha Kuzungumza Mwana Kijiweni?
Nisiwe mnafiki nimefurahi sana Yanga alicyofungwaIla mpenjaa ana kiti chake mbinguni alivyolipamba goal
Shakalaka booom![]()
Kwanza wameshikiwa azam mpka wachezaji wapungue ndo mshindeWayaaa wayaaa wayaaa a aiseee yanga wamefyata fyeeeeeh!!! Uhuuuu
Nisiwe mnafiki nimefurahi sana Yanga alicyofungwa![]()
Yanga hii unaifungaje!!!!! Hii ni kwa wale utopo hawawezi kutufungaNataka kuwasikia wanaosema yanga hii unaifungaje![]()
Yanga Amna timu APo,Dabi ya Dar Es Salaam imemalizika kwa Matajiri Wa Chamazi kuondoka na ushindi wa bao 1 Kwa 0 dhidi ya Yanga goli likifungwa na Gibril Sillah
Umeuonaje Mchezo Wa DABI Ya Dar Es Salaam? Una Kipi Cha Kuzungumza Mwana Kijiweni?