Yanga wanasonga mbele Mapinduzi Cup

Kriss

Mgeni
Kulingana na kikosi kilivyo jana sikuwa na matarajio makubwa sana, ukiangalia kwa makini wachezaji hawana maelewao kingine ni kama wameambiwa nendeni mkaoneshe uwezo wenu.

Ambundo KABAHATISHA tu hayafuti makosa yake 😂,Hata kama kafunga Ambundo bado kazingua

Jana kwa dakika chache nadhani sote tumeona quality ya Mudathir Baada ya kuingia Mudathir na Yacouba game ikabadilika kiasi chake, sidhani kama kuna watu Wana doubt na Mudathiri Yahaya

Yacouba karudi vizuri sana anaonekana akirudi kikosini hivi karibuni

Kambole hakuwa na games nyingi ni mapema sana kumuongelea au kumkosoa bado ana kitu chakutupa Yanga

Kwa upande wa David Bryson Kajitahidi sana. Anahitaji game zaidi atakuwa msaada sana kwenye timu

Beki namba 3 (Mwamnyeto) amejitahidi sana na ndiye amepiga hii faulu ya kifundi iliyozaa goli la ushindi kwa Yanga

Hatimaye Johora ana Cleansheet😂

KMKM wamebana weee mwisho wameachia KMKM 0-1 Yanga
FlptxrkWACUu8VU.jpg
 
Kulingana na kikosi kilivyo jana sikuwa na matarajio makubwa sana, ukiangalia kwa makini wachezaji hawana maelewao kingine ni kama wameambiwa nendeni mkaoneshe uwezo wenu.

Ambundo KABAHATISHA tu hayafuti makosa yake 😂,Hata kama kafunga Ambundo bado kazingua

Jana kwa dakika chache nadhani sote tumeona quality ya Mudathir Baada ya kuingia Mudathir na Yacouba game ikabadilika kiasi chake, sidhani kama kuna watu Wana doubt na Mudathiri Yahaya

Yacouba karudi vizuri sana anaonekana akirudi kikosini hivi karibuni

Kambole hakuwa na games nyingi ni mapema sana kumuongelea au kumkosoa bado ana kitu chakutupa Yanga

Kwa upande wa David Bryson Kajitahidi sana. Anahitaji game zaidi atakuwa msaada sana kwenye timu

Beki namba 3 (Mwamnyeto) amejitahidi sana na ndiye amepiga hii faulu ya kifundi iliyozaa goli la ushindi kwa Yanga

Hatimaye Johora ana Cleansheet😂

KMKM wamebana weee mwisho wameachia KMKM 0-1 Yanga
View attachment 1010
Kombole hapana bana:ROFLMAO::ROFLMAO::ROFLMAO::ROFLMAO::ROFLMAO:
 
Kulingana na kikosi kilivyo jana sikuwa na matarajio makubwa sana, ukiangalia kwa makini wachezaji hawana maelewao kingine ni kama wameambiwa nendeni mkaoneshe uwezo wenu.

Ambundo KABAHATISHA tu hayafuti makosa yake 😂,Hata kama kafunga Ambundo bado kazingua

Jana kwa dakika chache nadhani sote tumeona quality ya Mudathir Baada ya kuingia Mudathir na Yacouba game ikabadilika kiasi chake, sidhani kama kuna watu Wana doubt na Mudathiri Yahaya

Yacouba karudi vizuri sana anaonekana akirudi kikosini hivi karibuni

Kambole hakuwa na games nyingi ni mapema sana kumuongelea au kumkosoa bado ana kitu chakutupa Yanga

Kwa upande wa David Bryson Kajitahidi sana. Anahitaji game zaidi atakuwa msaada sana kwenye timu

Beki namba 3 (Mwamnyeto) amejitahidi sana na ndiye amepiga hii faulu ya kifundi iliyozaa goli la ushindi kwa Yanga

Hatimaye Johora ana Cleansheet😂

KMKM wamebana weee mwisho wameachia KMKM 0-1 Yanga
View attachment 1010
Mudathir namkubali sana huyu jamaa Huwa anajituma na ana pasi nzuri sana. Ni mchezaji mzuri sana Tumpe muda kidogo tu
 
Kulingana na kikosi kilivyo jana sikuwa na matarajio makubwa sana, ukiangalia kwa makini wachezaji hawana maelewao kingine ni kama wameambiwa nendeni mkaoneshe uwezo wenu.

Ambundo KABAHATISHA tu hayafuti makosa yake 😂,Hata kama kafunga Ambundo bado kazingua

Jana kwa dakika chache nadhani sote tumeona quality ya Mudathir Baada ya kuingia Mudathir na Yacouba game ikabadilika kiasi chake, sidhani kama kuna watu Wana doubt na Mudathiri Yahaya

Yacouba karudi vizuri sana anaonekana akirudi kikosini hivi karibuni

Kambole hakuwa na games nyingi ni mapema sana kumuongelea au kumkosoa bado ana kitu chakutupa Yanga

Kwa upande wa David Bryson Kajitahidi sana. Anahitaji game zaidi atakuwa msaada sana kwenye timu

Beki namba 3 (Mwamnyeto) amejitahidi sana na ndiye amepiga hii faulu ya kifundi iliyozaa goli la ushindi kwa Yanga

Hatimaye Johora ana Cleansheet😂

KMKM wamebana weee mwisho wameachia KMKM 0-1 Yanga
View attachment 1010
Huyu Kambole ni Kibu kabisa
 
Kulingana na kikosi kilivyo jana sikuwa na matarajio makubwa sana, ukiangalia kwa makini wachezaji hawana maelewao kingine ni kama wameambiwa nendeni mkaoneshe uwezo wenu.

Ambundo KABAHATISHA tu hayafuti makosa yake 😂,Hata kama kafunga Ambundo bado kazingua

Jana kwa dakika chache nadhani sote tumeona quality ya Mudathir Baada ya kuingia Mudathir na Yacouba game ikabadilika kiasi chake, sidhani kama kuna watu Wana doubt na Mudathiri Yahaya

Yacouba karudi vizuri sana anaonekana akirudi kikosini hivi karibuni

Kambole hakuwa na games nyingi ni mapema sana kumuongelea au kumkosoa bado ana kitu chakutupa Yanga

Kwa upande wa David Bryson Kajitahidi sana. Anahitaji game zaidi atakuwa msaada sana kwenye timu

Beki namba 3 (Mwamnyeto) amejitahidi sana na ndiye amepiga hii faulu ya kifundi iliyozaa goli la ushindi kwa Yanga

Hatimaye Johora ana Cleansheet😂

KMKM wamebana weee mwisho wameachia KMKM 0-1 Yanga
View attachment 1010
wachezaji tuwape muda
 
Kulingana na kikosi kilivyo jana sikuwa na matarajio makubwa sana, ukiangalia kwa makini wachezaji hawana maelewao kingine ni kama wameambiwa nendeni mkaoneshe uwezo wenu.

Ambundo KABAHATISHA tu hayafuti makosa yake 😂,Hata kama kafunga Ambundo bado kazingua

Jana kwa dakika chache nadhani sote tumeona quality ya Mudathir Baada ya kuingia Mudathir na Yacouba game ikabadilika kiasi chake, sidhani kama kuna watu Wana doubt na Mudathiri Yahaya

Yacouba karudi vizuri sana anaonekana akirudi kikosini hivi karibuni

Kambole hakuwa na games nyingi ni mapema sana kumuongelea au kumkosoa bado ana kitu chakutupa Yanga

Kwa upande wa David Bryson Kajitahidi sana. Anahitaji game zaidi atakuwa msaada sana kwenye timu

Beki namba 3 (Mwamnyeto) amejitahidi sana na ndiye amepiga hii faulu ya kifundi iliyozaa goli la ushindi kwa Yanga

Hatimaye Johora ana Cleansheet😂

KMKM wamebana weee mwisho wameachia KMKM 0-1 Yanga
View attachment 1010
Ambundo pamoja na kutupatia ushindi lakini kamati ya hadhi na wachezaji wa young Africans inabidi imfanyie uchunguzi
 
Kulingana na kikosi kilivyo jana sikuwa na matarajio makubwa sana, ukiangalia kwa makini wachezaji hawana maelewao kingine ni kama wameambiwa nendeni mkaoneshe uwezo wenu.

Ambundo KABAHATISHA tu hayafuti makosa yake 😂,Hata kama kafunga Ambundo bado kazingua

Jana kwa dakika chache nadhani sote tumeona quality ya Mudathir Baada ya kuingia Mudathir na Yacouba game ikabadilika kiasi chake, sidhani kama kuna watu Wana doubt na Mudathiri Yahaya

Yacouba karudi vizuri sana anaonekana akirudi kikosini hivi karibuni

Kambole hakuwa na games nyingi ni mapema sana kumuongelea au kumkosoa bado ana kitu chakutupa Yanga

Kwa upande wa David Bryson Kajitahidi sana. Anahitaji game zaidi atakuwa msaada sana kwenye timu

Beki namba 3 (Mwamnyeto) amejitahidi sana na ndiye amepiga hii faulu ya kifundi iliyozaa goli la ushindi kwa Yanga

Hatimaye Johora ana Cleansheet😂

KMKM wamebana weee mwisho wameachia KMKM 0-1 Yanga
View attachment 1010
KAMBOLE DAH🙌SIJUI NDY UZITO MKUBWA ,ANYWAYS YOU NEED TO IMPROVE
 
Kulingana na kikosi kilivyo jana sikuwa na matarajio makubwa sana, ukiangalia kwa makini wachezaji hawana maelewao kingine ni kama wameambiwa nendeni mkaoneshe uwezo wenu.

Ambundo KABAHATISHA tu hayafuti makosa yake 😂,Hata kama kafunga Ambundo bado kazingua

Jana kwa dakika chache nadhani sote tumeona quality ya Mudathir Baada ya kuingia Mudathir na Yacouba game ikabadilika kiasi chake, sidhani kama kuna watu Wana doubt na Mudathiri Yahaya

Yacouba karudi vizuri sana anaonekana akirudi kikosini hivi karibuni

Kambole hakuwa na games nyingi ni mapema sana kumuongelea au kumkosoa bado ana kitu chakutupa Yanga

Kwa upande wa David Bryson Kajitahidi sana. Anahitaji game zaidi atakuwa msaada sana kwenye timu

Beki namba 3 (Mwamnyeto) amejitahidi sana na ndiye amepiga hii faulu ya kifundi iliyozaa goli la ushindi kwa Yanga

Hatimaye Johora ana Cleansheet😂

KMKM wamebana weee mwisho wameachia KMKM 0-1 Yanga
View attachment 1010
Nina maswali mawili ya haraka nahitaji majibu la kwanza ...nani alimsajili kambole ?
 
Kulingana na kikosi kilivyo jana sikuwa na matarajio makubwa sana, ukiangalia kwa makini wachezaji hawana maelewao kingine ni kama wameambiwa nendeni mkaoneshe uwezo wenu.

Ambundo KABAHATISHA tu hayafuti makosa yake 😂,Hata kama kafunga Ambundo bado kazingua

Jana kwa dakika chache nadhani sote tumeona quality ya Mudathir Baada ya kuingia Mudathir na Yacouba game ikabadilika kiasi chake, sidhani kama kuna watu Wana doubt na Mudathiri Yahaya

Yacouba karudi vizuri sana anaonekana akirudi kikosini hivi karibuni

Kambole hakuwa na games nyingi ni mapema sana kumuongelea au kumkosoa bado ana kitu chakutupa Yanga

Kwa upande wa David Bryson Kajitahidi sana. Anahitaji game zaidi atakuwa msaada sana kwenye timu

Beki namba 3 (Mwamnyeto) amejitahidi sana na ndiye amepiga hii faulu ya kifundi iliyozaa goli la ushindi kwa Yanga

Hatimaye Johora ana Cleansheet😂

KMKM wamebana weee mwisho wameachia KMKM 0-1 Yanga
View attachment 1010
Huyo Mdathir ndy New Zanzibar finest
 
Back
Top