Bora nivae jezi ya colorlessNajua wapo ambao wanakuja na tutakutana uwanjani sasa naomba kufahamu mtavaa jezi gani? ADMIN ntavaa jezi yangu ya KIJIWENI
Leo me navaa ya azam fcNajua wapo ambao wanakuja na tutakutana uwanjani sasa naomba kufahamu mtavaa jezi gani? ADMIN ntavaa jezi yangu ya KIJIWENI
Ya timu gani hiyo kiongozNdio jezi Gani Mkuu![]()
Jaman vp leo na taka kubet nbc nani ana weza chambua hz gamL
Nyeupe kwa simbaNajua wapo ambao wanakuja na tutakutana uwanjani sasa naomba kufahamu mtavaa jezi gani? ADMIN ntavaa jezi yangu ya KIJIWENI