Yanga wanataka kuzima Kick ya Feisal na wakapita nyuma wakatuma maombi ya kutaka huduma ya James na Kipre Jr
Azam wamejibu maombi yao na kutaka $400k kwa kila kinda wao
Yanga hawajaaminiπ
Yacouba naamini ana uwezo mkubwa zaidi ya Mayele hivyo hakustahili kubaki Yanga na kuwa kivuli cha Mayele. Aende hata Azam auchape na awe mshindani wa Mayele