Hii mechi mbungi ilipigwa, jasho na damu viliwatoka wachezaji waliokua nabkiu ya kumkatisha tamaa Messi na Wengine wakiwa na Shauku ya kumuona Messi akifanikiwa. Mwisho wa siku wakajikuta wanatupa burudani yenye vitimbwi ndani yake haswaaa.
Kwako wewe, ipi ilikuwa bora kuzidi hii?