Search results

  1. V

    Tanzania na Ukuaji wa Soko la Ubashiri Mitandaoni.

    Kuepuka Uraibu wa Michezo ya Kubashiri Mtandaoni “Daah, mimi nimejaribu kupunguza kucheza michezo ya kubahatisha kwa muda wa miaka 6 sasa ila nimeshindwa, ni kama nimekuwa teja kwani nikipata hela yote tu ninachezea mpaka nimepoteza familia yangu yaani mke na mtoto, kwa kweli mpaka pesa ya kula...
  2. V

    Tanzania na Ukuaji wa Soko la Ubashiri Mitandaoni.

    Changamoto za Soko la Ubashiri Mtandaoni Licha ya kutambuliwa rasmi na serikali nchini Tanzania, sekta ya ya ubashiri mtandaoni inakabiliwa na vikwazo vingi katika ukuaji wake. Changamoto moja kubwa inayoikumba tasnia hii ni pamoja na kuibuka kwa kasino nyingi ambazo baadhi yake hazina ubora...
  3. V

    Tanzania na Ukuaji wa Soko la Ubashiri Mitandaoni.

    Sio Burudani Pekee. Moja ya kadhia kubwa wanayokumbana nayo wateja wa kampuni zinazojihusisha na michezo ya kubashiri ni ile dhana ya wengi kuwa kubashiri ni jambo la kupoteza muda tu na ni kazi inayofanywa na watu waliopoteza ramani maishani! Sio kweli kwamba kila anayejishughulisha na ubashiri...
  4. V

    Tanzania na Ukuaji wa Soko la Ubashiri Mitandaoni.

    Michezo Maarufu zaidi ya Kubashiri Mtandaoni. Ingawa kubashiri matokeo ya michezo ndio sehemu maarufu zaidi, sekta hii ya kubashiri mtandaoni inahusisha michezo mingine mashuhuri, rahisi na pengine yenye nafasi kubwa zaidi ya ushindi kuliko kubashiri matokeo ya michezo. Ifuatayo ni michezo ya...
  5. V

    Tanzania na Ukuaji wa Soko la Ubashiri Mitandaoni.

    Kubashiri Mtandaoni na Teknolojia ya Miamala ya Pesa kwa Njia ya Simu. Ukuaji wa huduma za kutuma na kupokea pesa kwa njia ya simu za mkononi umekua ni mojawapo ya fursa adhimu kwa wafanyabiashara kuuza bidhaa na huduma zao kwa urahisi zaidi. Mojawapo ya sekta zinazonufaika zaidi kwa kupitia...
  6. V

    Tanzania na Ukuaji wa Soko la Ubashiri Mitandaoni.

    Tovuti ya Roulette, Soko la Michezo ya Kubahatisha Tanzania. Mojawapo ya sababu zinazochangia zaidi kuongezeka kwa michezo ya kubashiri mitandaoni ni ukuaji wa utandawazi na teknolojia nchini Tanzania. Mwishoni mwa miaka ya 1990, Tanzania, kama nchi nyingine za Kiafrika iliruhusu bahati nasibu...
  7. V

    Tanzania na Ukuaji wa Soko la Ubashiri Mitandaoni.

    MICHEZO ya kubashiri mitandaoni ni tasnia mpya nchini Tanzania, kama ilivyo kwa nchi nyingi za Kiafrika. Licha ya upya wake, hii ni miongoni mwa tasnia inayokua kwa kasi zaidi hapa nchini. Michezo ya kubahatisha mtandaoni inahusisha kubashiri matokeo ya michezo, kucheza kasino, michezo ya poka...
  8. V

    AFCON Thread

    Mechi za AFCON. Je ni mechi gani unaisubiri kwa hamu?
  9. V

    AFCON Thread

    TUNISIA YAITUPA NJE NIGERIA AFCON. BAO la Nahodha, Youssef Msakni dakika ya 47 limeipa Tunisia ushindi wa 1-0 dhidi ya Nigeria katika mchezo wa Hatua ya 16 Bora Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika usiku wa Jumapili Uwanja wa Roumdé Adjia Jijini Garoua, Cameroon. Mechi nyingine ya 16 Bora...
  10. V

    AFCON Thread

    Mechi za leo AFCON. Burkina faso vs Gabon saa moja usiku Nigeria vs Tunisia saa nne usiku
  11. V

    Ligi Kuu Thread

    MATOKEO: Polisi Tanzania 0-1 Yanga Sc Coastal Union 1-3 Namungo Fc
  12. V

    Ligi Kuu Thread

    HALF-TIME Coastal Union 0-1 Namungo Fc 37': Obrey Chirwa =AZUrcSNIdF-u-nDGmzXQcdNXvW-FCf264YHdpJT0NoOUWEMsQwMsVWNlVaQ4ewSgptvopN7uItNNmACY2M7k9vZyhHOjBzS7Mbj65wIPJ2hBSH0o60iqDiUYVaaaLZDmlWvHfIOePB9HcLsupHQWWuMt&__tn__=*NK-R']#nbcpremierleague...
  13. V

    Ligi Kuu Thread

    HALF-TIME Polisi Tanzania 0-0 Yanga Sc Hakuna bao katika dakika 45 za kipindi cha kwanza, si Wananchi wala Askari. =AZU24kl6OjSfjRWDZaeCB36wPeHZG3jz5Q6rPDrL6ZLU2EIN7D2OegnB_jaIi2FAave_TdA38yTlwz0FV90iaaHqpys1Z58VwkjhR8J8iK90RuTVXtIlFT-LpTvWfW5_gZL_eNAYOhz6iTdE5GG2Nw-B&__tn__=EH-R']
  14. V

    Simba Sports Club Thread

    Kocha Simba: Tuna Ratiba Ngumu, Kucheza Jumatano Tena. PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba, amesema wana ratiba ngumu jambo linalowafanya kutumia nguvu kubwa kusaka ushindi. Jana Jumamosi, Simba ilitarajiwa kuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar uliochezwa Uwanja wa Manungu mkoani...
  15. V

    Yanga Thread

    Chico Apewa Majukumu ya Moloko Yanga. KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Polisi Tanzania, amempa Chiko Ushindi majukumu ya Jesus Moloko. Chico anatarajiwa kuwa miongoni mwa wachezaji watakaoonekana kwenye kikosi cha Yanga kinachotarajia kucheza mchezo...
  16. V

    Yanga Thread

    Mayanga, Mayele Wana Vita Yao. UKIWEKA kando ile vita ya kusaka pointi tatu leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid uliopo Arusha kati ya Polisi Tanzania inayonolewa na Malale Hamsini dhidi ya Yanga inayonolewa na Nasreddine Nabi, kuna bato ya ufungaji bora. Bato hiyo ya kibabe inatarajiwa kuwashuhudia...
  17. V

    AFCON Thread

    Milovan Atimuliwa Ghana. BAADA ya kupata matokeo mabaya ya Ghana katika michuano ya AFCON inayoendelea, Wizara ya Michezo ya nchi hiyo katika mkutano wa dharura siku ya Ijumaa iliagiza Chama cha Soka cha Ghana kumfukuza kazi kocha wake Mserbia, Milovan Rajevac. Licha ya kusitasita kwa FA...
  18. V

    Ligi Kuu Thread

    KICK-OFF | Kazi imeanza Arusha na Tanga. Polisi TZ 0-0 Yanga SC Coastal 0-0 Namungo
  19. V

    Ligi Kuu Thread

    Kikosi cha coastal union kitakachoanza leo dhidi ya Namungo Fc .....