Binafsi sikubaliani na wewe mkuu,ukicheza vzur sifa na heshima itakuwepo, Feisal,Bacca,Job,Mudathir,Zimbwe,Kapombe wa moto heshima yao ipo na wanafukuzwa kama wageni, Shida ni kwamba wachezaji wengi wa hapa nyumbani hawana consistency,alafu tusilazimishe kulinganisha awa wageni kuna mchango...