Kwa upande wetu Mashabiki wa Simba, bado tunahoma ya kupigwa mfululizo katikati ya Msiku, na kuja kuoata ushindi mwishoni mwa msimu. Endapo strikers wetu tegemezi watakua ni Jobe na Fredy, basi mtani atatupiga nyingi katika historia ya Dabi kuwahi kutokea.