al- nassr wafikia makubaliano ya miaka miwili na nusu na mwambaa malupulupu mengine na matangazo ya kibiashara na kumfanya mwanamichezo atakae kuwa analipwa kuliko wote ulimwenguni... Je huu ndiio mwisho wa maisha ya kisoka kwa CR7 na kuwa biashara!?
ukitaka kujua jmaa hana nyota....saaa hzi watu wanaanza kuhesabu idadi ya magoli mbappe kabakisha ili amfikie giroud, badala ya kusheherekea yeye kama kinara