Klabu ya Azam wanaonekana wapo serious sana na nafasi ya pili wakizidi kuweka ngumu kwa mnyama Simba, baada ya leo kupata ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya wagonga nyundo wa Jiji la Mbeya, Klabu ya Mbeya City, mpaka sasa Klabu ya Yanga ndio inaongoza Ligi ikifuatiwa na Simba na nafasi ya tatu...