Naweza kusema BADO simba ipo kwenye rada nzuri kisoka, kikubwa sajili zinazofanyika muda huu na thank you zitakazo tokea ndio zitatupa majibu kuwa tumepotea au msimu ujao ubigwa ni wetu
inshallaah
Kwamimi kama shabiki wa simba nachokiona watafanya vizuri.. ENDAPO WATACHANGA KALATA ZA USAJILI WACHEZJI WENYE VIWANGO BASI WATASONGA SANA NA PIA UONGOZI UKIBALIKA TUNABEBA KOMBE. inshallaah