Hivi unajua hali ya huo uwanja ambao wameughairisha fainali kuchezwa hapo au unasema tuu hapo wameangalia maslahi ya mrusha matangazo ambaye ni Azam TV kupata nafasi ya kutosha kufunga vitendea kazi , wameangalia ukubwa wa timu zinazo kutana wamegundua kuwa usalama utakuwa mdogo cause Mashabiki...