Search results

  1. Young Teflon

    FT : CBE SA 0 Yanga SC 1 | Wananchi Wa Kijiweni Mmeuonaje Mchezo Wa Leo? Nani Katisha Zaidi?

    Kabla huja nyoosha kidole kumkejeli kilema kwanza zingatia ulemavu wa akili ulionao. Ukianzia upangaji wa kikosi tu ulionyesha heshima ya game ya away. 4 difenda tena ambao hawakuwa na mikimbio mingi mbele. What a plan. Makosa yalikuwepo ila yasio na athari. This is champion campaign lazima...
  2. Young Teflon

    Unakubaliana Kiasi Gani Na Waraka Huu Wa JEMEDARI SAID Kuhusu TAIFA STARS?

    Inafikirisha sana. Ila bado ninaona tunahaja ya kukubali kwanza hali tuliyo nayo, alafu ndio tuje kutafakari kwakina nini na wapi pakuanzia hasa mkakati wa muda mrefu na ule wa muda mfupi. Kweli nilishangaa kuona leftback wakichezeshwa kama ma winga mmmh...!! Inawezekanaje ligi ya timu 16...
  3. Young Teflon

    Azam FC Yatupwa Nje Na APR Ligi Ya Mabingwa Afrika: Unadhani Kipi Haswa KINAWASUMBUA Matajiri Wa CHAMAZI?

    Kiukweli azam msimu huu wamefanya usajili mzuri 🙏 . Ila sasa katika mahali walipo kosea hasa ni kwenye head coach, kwa mtazamo wangu wakipata mwalimu bora kwahiki kikosi, wanauwezo wa ku compete na kufika mbali. Anyway usingizi mzito uliowavaa viongozi wa azam miaka mingi nyuma bado ni mzito...
  4. Young Teflon

    Hili La Mkude Na Yanga Lina Elimu Ndani Yake

    Kama sijakosea aliongezewa kandarasi ya mwaka mmoja . Good to be corrected.
  5. Young Teflon

    Yanga Wamejaza Washambuliaji Wengi Kuliko Wakabaji

    Viungo kiukweli ni wengi 🔥 lakini ninafikiri " namna ya kuwatumia wachezaji hawa inaitaji utulivu mkubwa kwa kocha na benchi lake hasa kuendana na mpinzani husika " Inaweza kuwa hivi .. ! Mfano. => Mkude + Andambwile ✓ => Aucho + Mudathiri ✓ => Aucho pekee, juu awe...
  6. Young Teflon

    TUWAOMBE MSAMAHA QATAR

    Indeed