Kuna wakati ukweli ubaki kuwa ukweli na tuache unafiki SIMBA ni mzoefu na anambinu za kujitetea pale anapokuwa nafasi ngumu lakn kilichoangusha maendeleo msimu huu ni figisu ndani ya uongozi na hilo swala limeshughulikiwa MO DEWJI yupo ndani ya BODI sasa tusubiri wachezaji wapewe morari then...