You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser.
-
B
Simba niteam kubwa af uksema yanga na simba kama haisaund hivi binafsi napenda kutamka simba vs yanga hata kama yanga nmwenyeji aseeh😂😂😂
-
B
Waongeze tu maana tuna team za kkoo zinajiita team kubwa kumbe hakuna kitu
-
B
Simba saiv inaweza kukaa nampira kwa dakka hata tatu had nne mpizan hahauchukua hakika tupo vzuri sana nguvu moja hiii ndo tulikuwa tunaitaka sasa
-
B
Aaah uswahili mwingi sana ndani ya hizi team and by the way maslah binafs ndoshida katika hili yaan
-
B
Tupo vizuri moto utawaka sana time hii hatutaki mchezomchezo...nguvu moja