Search results

  1. B

    Eti Wana Kijiweni Kwanini Ni Simba vs Yanga Na Sio Yanga vs Simba

    Simba niteam kubwa af uksema yanga na simba kama haisaund hivi binafsi napenda kutamka simba vs yanga hata kama yanga nmwenyeji aseeh😂😂😂
  2. B

    Gharama Za Kutumia Uwanja Wa AZAM COMPLEX Ndio Hizi Hapa

    Waongeze tu maana tuna team za kkoo zinajiita team kubwa kumbe hakuna kitu
  3. B

    FT : Simba SC 4 Fountain Gate FC 0 | Mna Lipi La Kusema Wekundu Wa Kijiweni?

    Simba saiv inaweza kukaa nampira kwa dakka hata tatu had nne mpizan hahauchukua hakika tupo vzuri sana nguvu moja hiii ndo tulikuwa tunaitaka sasa
  4. B

    Kipi Kinakwamisha Simba Na Yanga Kutokua Na Uwanja Kama Huu?

    Aaah uswahili mwingi sana ndani ya hizi team and by the way maslah binafs ndoshida katika hili yaan
  5. B

    FT : NBC PREMIER LEAGUE SIMBA SC 3 TABORA UNITED 0 , Umeionaje Simba Ya LIGI KUU?

    Tupo vizuri moto utawaka sana time hii hatutaki mchezomchezo...nguvu moja