Apo wengi watapungua kwenye mkeka lakini for my self halaand na vin jr wana prority kubwa mana kigezo kikubwa ni UEFA na timu ya taifa japo Euro na copa america zinazingatiwa vini itakuwa fresh zaid👈
Wooow ayoub lakrhed what a save ananzaaa ndefu kabisa kwa medition right futa Jean chearls ahouwa naam uwanja umeitika imepgwa kwa Steven mukwala what a dash kipa uku mpira kule anapiga magoti kusujudu. Steven mukwala 🤲🤲
Naona Simba sasa imeamua kujenga timu yake Wana kijiwenii. kutokana na usajili wa mahitaji Simba Kila sehemu ya kikosi wamegusa kwa asilimia kubwa binafsi nategemea kuiona mbali
#nguvumoja
Chama kwa class yake anaenda kuongeza ufanisi yanga Mana yanga msimu Jana walikosa backup ya pacome,azizz n.k ila uingiaj wa chama inaa maanisha andongeza kitu kikubwa tuu ila ni pengo kwa mnyama mkali 🙄🙄 sababu Bado hana mbadalaa wake