Tanzania nia ni ichi ambayo aina ubaguzi maana kijiji ninacho ishi mimi ni kambi la wageni ambayo walipewa wajiifazi adi vita itakapo pungua msumbiji wakaweka makazi baada ya kupungua wakafwata nawengine wakagoma kuludi tupo nayo adi kesho
Wapo wengi juzi wananiambia eta kunamatajili shilika la uncf wanatoa msaada nailiupate inatakiwa ela ya kujiuunga
Ambayo ipo kwa viwangu VYA msaada mfano ukitoa
34000/=unapata 700,000/=
68000/=unapata 140,000/=