Hakika maana vita ni hesabu na mipango wanajaribu kutibua sehemu ya kati ili mtungi uchafuke wana jangwan daima tunashika machujiko wakichafua tuna chuja then waendelea piga hatua mbele
Bado tunataman huduma yake cos anajua na anafanya kazi yake kwa uweredi zaidi ,,,nilini watanzania tuta tambua vitu vilivyo bora tuache mamuzi ya kushawishiwa mana yataja kutusumbua badae