😅😅😅 katiba inasemaje kuhusu ukomo wa kugombea...hiyo moja mbili sheria na taratibu za uchaguzi zinasemaj mpka mhusika apewe nafas ya kugombea awe na sifa zipi (vigezo).
Coach ampuzishe either mzize au kibu aingie seleman mwalimu asimame pale tisa awanyime uhuru kina inonga ...Alf lusajo nae anahitaji usaidiz wa kimawazo anapoteza sana mipira.