Search results

  1. Enck Jr

    FT : Yanga SC 3 Mashujaa FC 2 | Una Kipi Cha Kuzungumza Mwana Kijiweni?

    Hapo Bado Dude atafunga sana hasa Kuna demu wake mmoja anaitwa kolo ataguxhwa sana na kityu anabeba Price Dude
  2. Enck Jr

    Badala ya kuilipisha Simba, tuhoji zoezi la kubadili viti vya Uwanja wa Mkapa limeishia wapi?

    Simba wanazingua wakati ni watoto wadog sana ndo wanafanyag kazi za kuvunja vit na kuabisha taifaa hawajielew kat ya kocha na mashabik ndo maan wanavunja vit Yanga damu
  3. Enck Jr

    Kauli Ya Kocha Mkuu Wa YANGA Kuelekea Mchezo Wa Kesho Dhidi Ya MC Alger

    Asitoe ingini ya yanga ni Max asitoke Aziz ki atoke mapema sana matokeo tunapata ya kufurahisha sana
  4. Enck Jr

    FT : Namungo FC 0 Yanga SC 2 | Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwananchi Wa KIJIWENI?

    Me nahix msonda atabakia yanga haondoki kashakaa kwenye form
  5. Enck Jr

    FT : Yanga SC 0 Al Hilal 2 | Umeuonaje Mchezo Wa Kwanza Wa Makundi Wa Ligi Ya Mabingwa Afrika Kwa WANANCHI?

    Daaaah yaan yanga cjuh wanafelu wapi man wanakila kityu wanashindwa kufunga
  6. Enck Jr

    Panga Kikosi Na Mfumo Wa Mechi Ya Leo Yanga SC vs Al Hilal | Matokeo Ya Mwisho Yatakuwaje?

    Diara Yao Kibabage Bacca Job Mkude Max Mdathiri Dube Aziz ki/chama Pacome Full time 5-0 Max Dube Pacome Dube Chama 🔰🔰🔰💚💛💚
  7. Enck Jr

    Taja Sifa Moja Ya Marefa Wanaochezesha Mechi Za Mtaani (Ndondo)

    Wanamadoido ambayo yanawakera wachezaji na akichezexha vibay lazima atazinguana na mashabik match ukiisha
  8. Enck Jr

    Tanzania Inafuzu AFCON 2025 Nchini MOROCCO | Una Lipi La Kuzungumza Mwana Kijiweni?

    Hongera kwa mashabik kuujaz uwanj na kushangilia mwanzo mwisho hich ndo kimleta hamas kwa wachezaji ndo maan tumeshinda leo
  9. Enck Jr

    Yanga Kuachana Na GAMONDI Una Lipi La Kuzungumza Mwana KIJIWENI?

    Alistaili tyu kifukuzwa maan alishaanza kuzingia siku mingi tyu chama max na pacome wanatakiwa kuchez kwa pamja ili kupat matokeo yakuludhisha ndo maan kafukuzwa kakosea sub zake tyu za ajabu Ahsant kwa mchango wako gamondi na Kila la kheri katik maisha Yako ya kishoka huko undakoo
  10. Enck Jr

    FT : Simba SC 4 KMC Fc 0 | Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?

    Mmeshasahau baba zenu yanga jipeni moyo hiv hiv maan sisi yanga tunapindua mpak majamvii so meza Wala mikeka kombe lakwetu tutaona nyie panya road labda mbebe mapinduz
  11. Enck Jr

    FT : Simba SC 4 KMC Fc 0 | Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?

    Hakuna kukausha hapa kumbuka tyu kwamb tukikutana na wew kichapo tyu simba ila kazeni buti kisije kuwakuta kilichowakuta namba 3 mkishangaa kidgo mtakuwa namb 4 yanga bingwa
  12. Enck Jr

    FT : Yanga SC 0 Azam FC 1 | Umeuonaje Mchezo Wa DABI Ya Dar Es Salaam? Una Kipi Cha Kuzungumza Mwana Kijiweni?

    Kufungwa nimakosa yakiuchezaji watalegebesha na kujipanga na mchez ujaonkwaajil ya matokeo zaid
  13. Enck Jr

    Rodri Abeba BALLON D'OR Mbele Ya Vinny Jr | Una Lipi La Kuzungumza Mwana Kijiweni?

    Wazungu wazungu tyu wanatubagua San watyu black alistaili Vin Jr
  14. Enck Jr

    Sheria Gani Kwenye Mchezo Huu Lazima Utaikuta Popote Pale Ukienda Kucheza Mpira Wa SODO?

    Mwenye mpira atapanga Nan aingie na achezee upande wake au kwa wapinzan
  15. Enck Jr

    FULL TIME: Singida Black Stars 0 Yanga SC 1 | Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwananchi Wa KIJIWENI?

    Kwasaiv timu yeyote watakayo kumbana na yanga watachez kipnd cha kwanza tyu cha pili yanga wanakichukua kinakuwa chakwao nakusababisha kumaliza shughuri yote mpak na kuvunja kamati Yanga mtaiogop weng sana ahsanteni kwa siku ya Leo nipo kileleni Kam we mbabe njoo niguate
  16. Enck Jr

    FT : Coastal Union FC 0 Yanga SC 1 | Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwananchi Wa KIJIWENI?

    Wamecheza kwakiwango cha kulidhixha ila Kuna kityu kinatakiwa kifanyike ale Mbele katik kutengenez nafas za magoli goli moja no goli lakin kimchezo so goli angalau tuanze kufunga hat 3
  17. Enck Jr

    Ukipata Nafasi Ya Kumshauri Mshambuliaji Wa Klabu Ya Yanga Prince Dube Utamwambia Nini?

    Dube Bado anapresh ya kufunga goli akiwa mchezoni ila so tatizo atafunga magoli mengi San hapo yanga anaanza tareh 30 dhid ya singida dube tumpe mda kidgo
  18. Enck Jr

    FT : Coastal Union FC 0 Yanga SC 1 | Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwananchi Wa KIJIWENI?

    Muhimu point 3 mpaka tutaukuta tyu ubingwa wetu tunaoutetea tareh 30 hao singida tuwatoe kileleni tukae mababazao Young Africansi Daima Mbele ubingwa tutachukua mwaka huu matokeo siku zote haijalish ningap ni matokeo tyu kikubwa kushinda na so kupoteza