Search results

  1. B

    Kufuzu Kwa Yanga Robo Fainali Ashukuriwe MO DEWJI?

    Nivigumu kukwepesha ukweri. kwa vigezo kuwa Ahmed Ally ameogea swala hili kwa wakati ambao siyo sahihi. naomba niurize kuwa kama siyo sahihi Ahmed kuogea kigezo siyo wakati sahihi. je kuna haja ya kuwa na historia ya virabu vyetu?
  2. B

    Kufuzu Kwa Yanga Robo Fainali Ashukuriwe MO DEWJI?

    Mimi nafikiri Ahmed Ally. yupo sahihi kwani kukumbusha turiko toka na tunako erekea ni vizuri zadi. na bado itabaki kuwa historia ambayo haitafutika katika taifa retu na hasa kwa wapenzi wa michezo