AKAMINKO NI $400k na KIPRE Jr ni $400k

Balyx_

Mgeni
Dec 19, 2022
93
72
5
Yanga wanataka kuzima Kick ya Feisal na wakapita nyuma wakatuma maombi ya kutaka huduma ya James na Kipre Jr

Azam wamejibu maombi yao na kutaka $400k kwa kila kinda wao

Yanga hawajaaminiπŸ˜‚0A1ADFD4-7AA9-4A6F-ACE0-4A0AA157D153.jpeg