JAMAL MUSIALA Vs JUDE BELLINGHAM
Wote ni viungo washambuliaji , wana uwezo wa kucheza kama namba 10 ( kwenye mfumo wa 4-2-3-1 ) au namba 8 ( kwenye mfumo wa 4-3-3 )
Bado wadogo wana umri wa miaka 19 tu kila mmoja , wanaweza kufunga na kutengeneza magoli pia
Wote mpaka wanakipiga katika ligi moja ya nchini Ujerumani , Bundesliga ( Jamal - Bayern Munich na Jude - Borussia Dortmund )
Mmoja Mjeruman ( Musiala ) na Mwingine Muingereza ( Bellingham )
Kama klabu unayopenda ikisema ina bajeti ya kumsajili mmojawapo kati ya hao wawili unachagua yupi ????
Wote ni viungo washambuliaji , wana uwezo wa kucheza kama namba 10 ( kwenye mfumo wa 4-2-3-1 ) au namba 8 ( kwenye mfumo wa 4-3-3 )
Bado wadogo wana umri wa miaka 19 tu kila mmoja , wanaweza kufunga na kutengeneza magoli pia
Wote mpaka wanakipiga katika ligi moja ya nchini Ujerumani , Bundesliga ( Jamal - Bayern Munich na Jude - Borussia Dortmund )
Mmoja Mjeruman ( Musiala ) na Mwingine Muingereza ( Bellingham )
Kama klabu unayopenda ikisema ina bajeti ya kumsajili mmojawapo kati ya hao wawili unachagua yupi ????