Azam hawajua bado shida yao kwenye magoli kipa

Bangala

Mgeni
Dec 13, 2022
39
24
5
Pengine ni kocha wa magolikipa ndo tatizo
Pengine ni ubora wa timu wanazokutana nazo
Pengine labda ni kweli bado hawajapata kipa bora
Pengine Au tatizo ni lipi kwenye mlsngo wa Azam uwanjani, pia kupata golikipa mzuri sio jambo rahisi.

Ninachoona pia kwa AZAM waache kuendekeza mashabiki wa simba na yanga yule golikipa ni mzuri sana mnamuacha kisa kafungwa na AZIZ K, hiyo siyo football mashabiki watabaki kuwa mashabiki na wachezaji watasimama kwenye nafasi yao hakuna kipa asiyefungwa hayo ni makosa yanatokeo na kwenye mpira ukifanya makosa unaadhibiwa na mpinzani.

Wanamuona Ahmada sio mzuri sababu Jemedari alisema ni kipa wa hovyo kwa kushindwa kudaka mpira wa Aziz ki. Juzi wakamuweka kipa wa under 20 akafungwa magoli ma4 ya kizembe sana, Golikipa unakabiliwa na adui na unahamishia mpira ndani yaani kumpa adui advantage? Huyu Golikipa anatakiwa ama afundishwe upya au auzwe.

Azam wanaonekana kama hawako serious sana na hii football industry, miaka yote Investiment ya Azam sioni return yake nafikiri kuna shida kwenye Management.
 

JohBwax

Mgeni
Nov 4, 2022
84
72
5
Pengine ni kocha wa magolikipa ndo tatizo
Pengine ni ubora wa timu wanazokutana nazo
Pengine labda ni kweli bado hawajapata kipa bora
Pengine Au tatizo ni lipi kwenye mlsngo wa Azam uwanjani, pia kupata golikipa mzuri sio jambo rahisi.

Ninachoona pia kwa AZAM waache kuendekeza mashabiki wa simba na yanga yule golikipa ni mzuri sana mnamuacha kisa kafungwa na AZIZ K, hiyo siyo football mashabiki watabaki kuwa mashabiki na wachezaji watasimama kwenye nafasi yao hakuna kipa asiyefungwa hayo ni makosa yanatokeo na kwenye mpira ukifanya makosa unaadhibiwa na mpinzani.

Wanamuona Ahmada sio mzuri sababu Jemedari alisema ni kipa wa hovyo kwa kushindwa kudaka mpira wa Aziz ki. Juzi wakamuweka kipa wa under 20 akafungwa magoli ma4 ya kizembe sana, Golikipa unakabiliwa na adui na unahamishia mpira ndani yaani kumpa adui advantage? Huyu Golikipa anatakiwa ama afundishwe upya au auzwe.

Azam wanaonekana kama hawako serious sana na hii football industry, miaka yote Investiment ya Azam sioni return yake nafikiri kuna shida kwenye Management.
Koxha wa magolikipa ndo tatizo japo kuapata kipa sio rahisi
 

Kriss

Mgeni
Nov 4, 2022
102
138
5
Pengine ni kocha wa magolikipa ndo tatizo
Pengine ni ubora wa timu wanazokutana nazo
Pengine labda ni kweli bado hawajapata kipa bora
Pengine Au tatizo ni lipi kwenye mlsngo wa Azam uwanjani, pia kupata golikipa mzuri sio jambo rahisi.

Ninachoona pia kwa AZAM waache kuendekeza mashabiki wa simba na yanga yule golikipa ni mzuri sana mnamuacha kisa kafungwa na AZIZ K, hiyo siyo football mashabiki watabaki kuwa mashabiki na wachezaji watasimama kwenye nafasi yao hakuna kipa asiyefungwa hayo ni makosa yanatokeo na kwenye mpira ukifanya makosa unaadhibiwa na mpinzani.

Wanamuona Ahmada sio mzuri sababu Jemedari alisema ni kipa wa hovyo kwa kushindwa kudaka mpira wa Aziz ki. Juzi wakamuweka kipa wa under 20 akafungwa magoli ma4 ya kizembe sana, Golikipa unakabiliwa na adui na unahamishia mpira ndani yaani kumpa adui advantage? Huyu Golikipa anatakiwa ama afundishwe upya au auzwe.

Azam wanaonekana kama hawako serious sana na hii football industry, miaka yote Investiment ya Azam sioni return yake nafikiri kuna shida kwenye Management.
Hawajajua tatizo wanatumia pesa nyingi bila mpangilio wa ,malengo yao Ahmada wala hana ubaya
 

Rashidi

Mgeni
Dec 13, 2022
56
40
5
K
Pengine ni kocha wa magolikipa ndo tatizo
Pengine ni ubora wa timu wanazokutana nazo
Pengine labda ni kweli bado hawajapata kipa bora
Pengine Au tatizo ni lipi kwenye mlsngo wa Azam uwanjani, pia kupata golikipa mzuri sio jambo rahisi.

Ninachoona pia kwa AZAM waache kuendekeza mashabiki wa simba na yanga yule golikipa ni mzuri sana mnamuacha kisa kafungwa na AZIZ K, hiyo siyo football mashabiki watabaki kuwa mashabiki na wachezaji watasimama kwenye nafasi yao hakuna kipa asiyefungwa hayo ni makosa yanatokeo na kwenye mpira ukifanya makosa unaadhibiwa na mpinzani.

Wanamuona Ahmada sio mzuri sababu Jemedari alisema ni kipa wa hovyo kwa kushindwa kudaka mpira wa Aziz ki. Juzi wakamuweka kipa wa under 20 akafungwa magoli ma4 ya kizembe sana, Golikipa unakabiliwa na adui na unahamishia mpira ndani yaani kumpa adui advantage? Huyu Golikipa anatakiwa ama afundishwe upya au auzwe.

Azam wanaonekana kama hawako serious sana na hii football industry, miaka yote Investiment ya Azam sioni return yake nafikiri kuna shida kwenye Management.
ipa namba 1 shati namba 2 pazia siui namba 3 atakua shuka au neti :LOL::LOL::LOL: