Bale mpira bado unamuhitaji sijui kimemkuta nini kaamua kupumzika mapema hivi

McRay

Mgeni
Nov 4, 2022
185
131
5
MICHEZO Nahodha wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 33.

Bale amepitia klabu za Southampton, Tottenham, Real Madrid na Los Angeles FC ambapo mafanikio yake makubwa ni kushinda Klabu Bingwa Ulaya mara 5, Kombe la Dunia la vilabu mara 4, La Liga mara 3, UEFA Supercup mara 3, akifunga jumla ya mabao 186 na assist 139.

#GarethBale #Football Mwendo Ameumaliza😥
43a07803-2918-4ded-b31f-32cca749c765.jpg
 

Azizi

Mgeni
Dec 13, 2022
38
26
5
MICHEZO Nahodha wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 33.

Bale amepitia klabu za Southampton, Tottenham, Real Madrid na Los Angeles FC ambapo mafanikio yake makubwa ni kushinda Klabu Bingwa Ulaya mara 5, Kombe la Dunia la vilabu mara 4, La Liga mara 3, UEFA Supercup mara 3, akifunga jumla ya mabao 186 na assist 139.

#GarethBale #Football Mwendo Ameumaliza😥
View attachment 1020
Mwamba kakumbwa na nn
 
  • Like
Reactions: Bangala

Bangala

Mgeni
Dec 13, 2022
39
24
5
MICHEZO Nahodha wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 33.

Bale amepitia klabu za Southampton, Tottenham, Real Madrid na Los Angeles FC ambapo mafanikio yake makubwa ni kushinda Klabu Bingwa Ulaya mara 5, Kombe la Dunia la vilabu mara 4, La Liga mara 3, UEFA Supercup mara 3, akifunga jumla ya mabao 186 na assist 139.

#GarethBale #Football Mwendo Ameumaliza😥
View attachment 1020
Club Bngwa Ulaya mara 5 Katisha sana zaidi ya sana.
 
  • Like
Reactions: jamal

Clara

Mgeni
Dec 13, 2022
20
6
5
MICHEZO Nahodha wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 33.

Bale amepitia klabu za Southampton, Tottenham, Real Madrid na Los Angeles FC ambapo mafanikio yake makubwa ni kushinda Klabu Bingwa Ulaya mara 5, Kombe la Dunia la vilabu mara 4, La Liga mara 3, UEFA Supercup mara 3, akifunga jumla ya mabao 186 na assist 139.

#GarethBale #Football Mwendo Ameumaliza😥
View attachment 1020
Bado tulikua tunamuhitaji sema maamuzi yake tunaheshimu
 

Kriss

Mgeni
Nov 4, 2022
102
138
5
Ba
MICHEZO Nahodha wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 33.

Bale amepitia klabu za Southampton, Tottenham, Real Madrid na Los Angeles FC ambapo mafanikio yake makubwa ni kushinda Klabu Bingwa Ulaya mara 5, Kombe la Dunia la vilabu mara 4, La Liga mara 3, UEFA Supercup mara 3, akifunga jumla ya mabao 186 na assist 139.

#GarethBale #Football Mwendo Ameumaliza😥
View attachment 1020
Kutakua kuna jambo amewahi sana Kombe la dunia aliwausha sana
 

Brenda

Mgeni
Oct 31, 2022
489
403
5
Dar es salaam
MICHEZO Nahodha wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 33.

Bale amepitia klabu za Southampton, Tottenham, Real Madrid na Los Angeles FC ambapo mafanikio yake makubwa ni kushinda Klabu Bingwa Ulaya mara 5, Kombe la Dunia la vilabu mara 4, La Liga mara 3, UEFA Supercup mara 3, akifunga jumla ya mabao 186 na assist 139.

#GarethBale #Football Mwendo Ameumaliza😥
MICHEZO Nahodha wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 33.

Bale amepitia klabu za Southampton, Tottenham, Real Madrid na Los Angeles FC ambapo mafanikio yake makubwa ni kushinda Klabu Bingwa Ulaya mara 5, Kombe la Dunia la vilabu mara 4, La Liga mara 3, UEFA Supercup mara 3, akifunga jumla ya mabao 186 na assist 139.

#GarethBale #Football Mwendo Ameumaliza😥
View attachment 1020
MICHEZO Nahodha wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 33.

Bale amepitia klabu za Southampton, Tottenham, Real Madrid na Los Angeles FC ambapo mafanikio yake makubwa ni kushinda Klabu Bingwa Ulaya mara 5, Kombe la Dunia la vilabu mara 4, La Liga mara 3, UEFA Supercup mara 3, akifunga jumla ya mabao 186 na assist 139.

#GarethBale #Football Mwendo Ameumaliza😥
View attachment 1020
Majeraha haya aisee jamaa alikua bado anaweza kupambania ball
 

JohBwax

Mgeni
Nov 4, 2022
84
72
5
MICHEZO Nahodha wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 33.

Bale amepitia klabu za Southampton, Tottenham, Real Madrid na Los Angeles FC ambapo mafanikio yake makubwa ni kushinda Klabu Bingwa Ulaya mara 5, Kombe la Dunia la vilabu mara 4, La Liga mara 3, UEFA Supercup mara 3, akifunga jumla ya mabao 186 na assist 139.

#GarethBale #Football Mwendo Ameumaliza😥
View attachment 1020
Sijui amekumbwa na nini ila tunaheshimu maaamuzi yake
 
  • Like
Reactions: kamakawa

Lukac

Mgeni
Nov 4, 2022
120
83
5
MICHEZO Nahodha wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 33.

Bale amepitia klabu za Southampton, Tottenham, Real Madrid na Los Angeles FC ambapo mafanikio yake makubwa ni kushinda Klabu Bingwa Ulaya mara 5, Kombe la Dunia la vilabu mara 4, La Liga mara 3, UEFA Supercup mara 3, akifunga jumla ya mabao 186 na assist 139.

#GarethBale #Football Mwendo Ameumaliza😥
View attachment 1020
Kila Lakheri kwake
 

Mgunda Zone

Mgeni
Nov 4, 2022
83
88
5
MICHEZO Nahodha wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 33.

Bale amepitia klabu za Southampton, Tottenham, Real Madrid na Los Angeles FC ambapo mafanikio yake makubwa ni kushinda Klabu Bingwa Ulaya mara 5, Kombe la Dunia la vilabu mara 4, La Liga mara 3, UEFA Supercup mara 3, akifunga jumla ya mabao 186 na assist 139.

#GarethBale #Football Mwendo Ameumaliza😥
View attachment 1020
Kila lakheri kwake
 

Zaka

Mgeni
Dec 13, 2022
43
27
5
MICHEZO Nahodha wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 33.

Bale amepitia klabu za Southampton, Tottenham, Real Madrid na Los Angeles FC ambapo mafanikio yake makubwa ni kushinda Klabu Bingwa Ulaya mara 5, Kombe la Dunia la vilabu mara 4, La Liga mara 3, UEFA Supercup mara 3, akifunga jumla ya mabao 186 na assist 139.

#GarethBale #Football Mwendo Ameumaliza😥
View attachment 1020
Fundi wa mpira world cup ameitendea haki