Chelsea hii imekua pasono sasa mnatuumiza hata sisi mashabiki wapinzani

Azizi

Mgeni
Dec 13, 2022
38
26
5
Mpango wa Enzo Fernandez, unaingia katika saa muhimu na muhimu - unakaribia Ofa ya Chelsea ilitolewa jana: €120m kwa awamu, rais wa Benfica Rui Costa anatarajiwa kuamua hivi karibuni.

Todd Boehly na Behdad Egbhali wanaifanyia kazi kwa bidii pamoja na bodi.

hili dili la Enzo kwenda Chelsea ni kama limefikia karibu sasa linanukia imefika hatua hata sisi tunaona wivu sasa kila kizuri chao tu duh! Fifa waingilie kati hii imezidi

1675160641934.png