Fei kasharudi kambini.!

kidudumtujr

Mgeni
Dec 14, 2022
50
70
5
Tanzania
Feitoto kuzikutanisha Yanga na Azam leo usiku

Mechi tatu za ligi kuu ya Kandanda Tanzania bara zinachezwa leo katika viwanja tofauti.

Moja ya mechi yenye mvuto na ushindani ni kati ya mabingwa watetezi Yanga dhidi ya Azam FC.


Yanga na Azam, ukiachia ushindani wao wa uwanjani, pia wapo katika vita juu ya sakata la kiungo Faisal Salum ( Feitoto) ambapo pande zote zinavutana juu ya usajili wake.

Azam inadaiwa kumsajili mchezaji huyo ambaye pia Yanga inadai kuendelea kuwa na mkataba naye.

Tayari mchezaji ameripotiwa kuripoti katika kambi ya Yanga.

Mechi hiyo itachezwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa saa mbili usiku.

Katika mchezo uliopita, timu hizo zilitoka sare ya 2-2 baada ya Feitoto kuisawazishia Yanga mara mbili na kunusuru alama moja.

Ratiba ya mechi nyingine za leo ni kama ifuatavyo:

16:00 || Mbeya City vs Tanzania Prisons

18:15 || Kagera Sugar vs Geita Gold FCAB6C4B02-7DCB-49F6-962F-83C91C2E64B8.jpeg
 
  • Like
Reactions: sharon and Brenda

Brenda

Mgeni
Oct 31, 2022
489
403
5
Dar es salaam
Feitoto kuzikutanisha Yanga na Azam leo usiku

Mechi tatu za ligi kuu ya Kandanda Tanzania bara zinachezwa leo katika viwanja tofauti.

Moja ya mechi yenye mvuto na ushindani ni kati ya mabingwa watetezi Yanga dhidi ya Azam FC.


Yanga na Azam, ukiachia ushindani wao wa uwanjani, pia wapo katika vita juu ya sakata la kiungo Faisal Salum ( Feitoto) ambapo pande zote zinavutana juu ya usajili wake.

Azam inadaiwa kumsajili mchezaji huyo ambaye pia Yanga inadai kuendelea kuwa na mkataba naye.

Tayari mchezaji ameripotiwa kuripoti katika kambi ya Yanga.

Mechi hiyo itachezwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa saa mbili usiku.

Katika mchezo uliopita, timu hizo zilitoka sare ya 2-2 baada ya Feitoto kuisawazishia Yanga mara mbili na kunusuru alama moja.

Ratiba ya mechi nyingine za leo ni kama ifuatavyo:

16:00 || Mbeya City vs Tanzania Prisons

18:15 || Kagera Sugar vs Geita Gold FCView attachment 931
😂😂😂😂
 

Mak migezo

Mgeni
Dec 24, 2022
3
1
5
Klabu ya Azam wanaonekana wapo serious sana na nafasi ya pili wakizidi kuweka ngumu kwa mnyama Simba, baada ya leo kupata ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya wagonga nyundo wa Jiji la Mbeya, Klabu ya Mbeya City, mpaka sasa Klabu ya Yanga ndio inaongoza Ligi ikifuatiwa na Simba na nafasi ya tatu ikishikwa na Matajiri wa Jiji la Dar es salaam
 

sharon

Mgeni
Nov 4, 2022
105
89
5
Feitoto kuzikutanisha Yanga na Azam leo usiku

Mechi tatu za ligi kuu ya Kandanda Tanzania bara zinachezwa leo katika viwanja tofauti.

Moja ya mechi yenye mvuto na ushindani ni kati ya mabingwa watetezi Yanga dhidi ya Azam FC.


Yanga na Azam, ukiachia ushindani wao wa uwanjani, pia wapo katika vita juu ya sakata la kiungo Faisal Salum ( Feitoto) ambapo pande zote zinavutana juu ya usajili wake.

Azam inadaiwa kumsajili mchezaji huyo ambaye pia Yanga inadai kuendelea kuwa na mkataba naye.

Tayari mchezaji ameripotiwa kuripoti katika kambi ya Yanga.

Mechi hiyo itachezwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa saa mbili usiku.

Katika mchezo uliopita, timu hizo zilitoka sare ya 2-2 baada ya Feitoto kuisawazishia Yanga mara mbili na kunusuru alama moja.

Ratiba ya mechi nyingine za leo ni kama ifuatavyo:

16:00 || Mbeya City vs Tanzania Prisons

18:15 || Kagera Sugar vs Geita Gold FCView attachment 931
Kambi gani hiyo