Football na sayans
Kwenye vitabu United ilionekana Kama 4231 lakin kwenye kucheza United walikua 442 Bruno winga kulia Sancho kushoto weghorst na Rashford Kama washambuliaji wawili wa uongo maana akuna anae simama hapo mbele tukiwa tunakaba ni 433 Sancho anaingia ndan Rashford pemben kushoto Bruno anabaki kulia.
Balotell nimeona number wa wili Fred na weghorst chini yao Kuna casamiro 433 holding kazi ya Fred ni kuwaforce Barca wasitengeneza mashambuliz kuanzia Kat ndio maana de jong muda mwing alikua chin zaid coz Fred alikua ana gasi Sana huku weghorst alikua anakaa eneo lote ambalo Fred katoka kwenda kufanya pressing.
Huku Bruno wing yake kwenye kukaba ni kuzui pass ya mwisho kwa Pedri huku Casa akidili na Gavi ambae Xavi anamtumia Kama game changer dakika zote 90.
Casamiro kudili na Gavi ilikua ni kesi dogo Sana Kama Jana wote tulivyoona magoal yao walipata baada ya kuona United tupo sawa kote wakaja na plan B ya kumwaga maji na walifanikiwa Varane mrefu lakin sio mzur kuruka pia hivyo pia ata kwa Shaw kuruka na kimo chake mmmh
Lawama kubwa kwa Weghorst nafas kubwa aliyo kosa lakin pongez kwa golikipa msimu huu kwenye ligi ya Laliga pale Camp Nou Barcelona kafungwa goal moja tu
TUKUTANE OT TUMALIZE KAZI

Kwenye vitabu United ilionekana Kama 4231 lakin kwenye kucheza United walikua 442 Bruno winga kulia Sancho kushoto weghorst na Rashford Kama washambuliaji wawili wa uongo maana akuna anae simama hapo mbele tukiwa tunakaba ni 433 Sancho anaingia ndan Rashford pemben kushoto Bruno anabaki kulia.
Balotell nimeona number wa wili Fred na weghorst chini yao Kuna casamiro 433 holding kazi ya Fred ni kuwaforce Barca wasitengeneza mashambuliz kuanzia Kat ndio maana de jong muda mwing alikua chin zaid coz Fred alikua ana gasi Sana huku weghorst alikua anakaa eneo lote ambalo Fred katoka kwenda kufanya pressing.
Huku Bruno wing yake kwenye kukaba ni kuzui pass ya mwisho kwa Pedri huku Casa akidili na Gavi ambae Xavi anamtumia Kama game changer dakika zote 90.
Casamiro kudili na Gavi ilikua ni kesi dogo Sana Kama Jana wote tulivyoona magoal yao walipata baada ya kuona United tupo sawa kote wakaja na plan B ya kumwaga maji na walifanikiwa Varane mrefu lakin sio mzur kuruka pia hivyo pia ata kwa Shaw kuruka na kimo chake mmmh
Lawama kubwa kwa Weghorst nafas kubwa aliyo kosa lakin pongez kwa golikipa msimu huu kwenye ligi ya Laliga pale Camp Nou Barcelona kafungwa goal moja tu
TUKUTANE OT TUMALIZE KAZI
