Mchezo wa kwanza wa raundi ya pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya CBE SA dhidi ya Yanga SC umemalizika kwa Wananchi kuondoka na ushindi wa bao 1 lililofungwa na Prince Dube.
Wananchi Wa Kijiweni mmeuonaje mchezo wa Leo? Nani katisha zaidi?
Wananchi Wa Kijiweni mmeuonaje mchezo wa Leo? Nani katisha zaidi?