FT : Simba SC 1 Al HILAL 1 : Una Lipi La Kuzungumza Mwana Kijiweni?

Kijiweni

Administrator
Staff member
Nov 7, 2022
273
389
25
Mchezo wa kimataifa wa Kirafiki uliowakutanisha klabu ya Simba ya Tanzania dhidi ya AL HILAL ya Sudan Umemalizika Kwa sare ya bao 1 Kwa 1

Umeyapokeaje matokeo haya na una lipi la Kuzungumza mwekundu wa Kijiweni?
 

elly_sirkeys

Mpiga Chabo
Aug 31, 2024
1
0
0
Matokeo nimeyapokea vizuri, piah kuhusu timu ipo vizuri imecheza mpira vizuri, kikubwa tu waendelee kujitahd katika kutengeneza nafasi na kuzitumia maana ndizo za kukufanya ushinde.
 

Abby08

Mgeni
Aug 31, 2024
1
1
5
Mechi nzuri, challenge nzuri Kwa wachezaji, Nina Imani technical bench watafanyia kazi makosa madogo pamoja na kufanya marekebisho machache kuelekea mechi kubwa zijazo.
 
  • Like
Reactions: Wistabby