FT : Simba SC 4 Fountain Gate FC 0 | Mna Lipi La Kusema Wekundu Wa Kijiweni?

Fleaz jordan

Mpiga Chabo
Aug 26, 2024
2
0
0
Mchezo wa Ligi Kuu Ya NBC kati ya klabu ya Simba dhidi ya klabu ya Fountain Gate umemalizika kwa Simba kuondoka na ushindi wa mabao 4 kwa sifuri

Umeionaje Simba ya Kocha Fadlu Davis? Unadhani kipi kinatakiwa kufanyiwa kazi zaidi na benchi la ufundi?

Wafungaji :
⚽Balua
⚽Mukwala
⚽Ahoua
⚽Mashaka
Mukwala bado haja onyesha kitu