Geita Gold FC walamba milioni 500

tototundu

Kaka Mkubwa
Nov 26, 2021
23
20
6
Mgodi wa Uchimbaji Dhahabu wa Geita (GGM) umetoa kiasi cha shilingi milioni 500/= kuidhamini timu ya mpira wa miguu ya @geitagoldfc inayoshiriki Ligi Kuu ya NBC ili kuiwezesha timu hiyo kufanya vizuri katika michuano hiyo.
 
  • Like
Reactions: vuligate

Mkwavinyika

Administrator
Staff member
Dec 2, 2021
49
9
26
Dar es Salaam
Jamaa wako vizuri, nimeona pia inaendelea na ujenzi wa uwanja wao wenye uwezo wa kubeba mashabiki 12,000. Kampuni ya Geita Gold imetoa Tsh 2.4bn za ujenzi kama awamu ya kwanza

FHRW50tXsAc3TgJ


cd53af4ffd79a1791ce478d5ef908bd5.JPG