Ipi Ni TOP FIVE (5) Yako NBC PL 2024/2025?

Maker Jinny

Mgeni
Jul 6, 2024
4
2
5
Tumeona jinsi ambavyo kila timu imejinasibisha kuwa imefanya usajili wao kwa ajili ya msimu wa mashindano wa mwaka 2024/2025. Tunafahamu pia kuwa kila mtu ana timu yake ambayo anaishabikia hapa Kijiweni lakini kwa namna ambavyo usajili umefanyika zipi unaona ni klabu ambazo zitasshika nafasi 5 za juu? Anza na

1: Simba
2: Azam
3: Yanga
4: Dodoma jiji
5: Singida big stars

Twende Kazi Sasa
 

a.k.a fau

Mpiga Chabo
Jul 31, 2024
1
0
0
Tumeona jinsi ambavyo kila timu imejinasibisha kuwa imefanya usajili wao kwa ajili ya msimu wa mashindano wa mwaka 2024/2025. Tunafahamu pia kuwa kila mtu ana timu yake ambayo anaishabikia hapa Kijiweni lakini kwa namna ambavyo usajili umefanyika zipi unaona ni klabu ambazo zitasshika nafasi 5 za juu? Anza na

1: Bingwa
2: Mshindi wa Pili
3: Mshindi wa Tatu
4: Nafasi Ya Nne
5: Nafasi Ya Tano

Twende Kazi Sasa
1: yanga
2:Azam
3:simba
4:sb/star
5:pamba
 

Official venance

Mpiga Chabo
Jul 31, 2024
2
0
0
Top Five NBCPL 2024-2025
1. SIMBA SC (SOLD OUT)
2. AZAM FC
3. COASTAL UNION
4.SINGIDA BLACK STAR
5. SINGIDA FOUNTAIN GATE
#Wafungaji
1. Desse
2. Ahoua
3. Bocco
4. Mutale
5. Baleke
#NI Mtazamo wangu sio wako mwana kijiwenii
 

muu

Mpiga Chabo
Aug 2, 2024
4
0
0
Tumeona jinsi ambavyo kila timu imejinasibisha kuwa imefanya usajili wao kwa ajili ya msimu wa mashindano wa mwaka 2024/2025. Tunafahamu pia kuwa kila mtu ana timu yake ambayo anaishabikia hapa Kijiweni lakini kwa namna ambavyo usajili umefanyika zipi unaona ni klabu ambazo zitasshika nafasi 5 za juu? Anza na

1: Bingwa
2: Mshindi wa Pili
3: Mshindi wa Tatu
4: Nafasi Ya Nne
5: Nafasi Ya Tano

Twende Kazi Sasa
Tuseme sawa na unania nzuri na ss mbn kmc haujamueka
 

muu

Mpiga Chabo
Aug 2, 2024
4
0
0
Tumeona jinsi ambavyo kila timu imejinasibisha kuwa imefanya usajili wao kwa ajili ya msimu wa mashindano wa mwaka 2024/2025. Tunafahamu pia kuwa kila mtu ana timu yake ambayo anaishabikia hapa Kijiweni lakini kwa namna ambavyo usajili umefanyika zipi unaona ni klabu ambazo zitasshika nafasi 5 za juu? Anza na

1: Bingwa
2: Mshindi wa Pili
3: Mshindi wa Tatu
4: Nafasi Ya Nne
5: Nafasi Ya Tano

Twende Kazi Sasa
Yanga africans Simba Azam fc singida black sita